Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo kwenye tourism bado sehem nyingi saana ambazo hazijatangazwa,,,kwa mfano..ukiachilia mbali Northern Circuit ambayo ndio inapokea 99%ya watalii wote wanazuru nchini kuona wanyama na kukwea milima...Southern Circuit bado ni virgin,hapa nazungumzia Nyerere national park Africa's largest national park, Ruaha NP,UdizungwaNP,Kitulo NP..mikumiNP...bado sehemu za kitamaduni Kalenga Museum,kimondo cha Mbozi.,Tukiweka Effort hapa tuna uwezo wa ku double kwenye pato La utalii..Bado tuna sehemu Adhimu kuona Chipanzee kule Mahale na Gombe ...uko hakujaguswa.
 

ukiangalia kuna watu hawaelew au wanasema ni uongo.. kama kuna mtu humu ni mtu wa kucomment twitter waulizeni hao jamaa kuwa wanajua kuwa Kenya wanaishabikia nayo ni middle income country? wakisema ndio, then waulizen wanajua kuwa tupo nao kweny grup moja la lower middle income country?? ukishambuliwa na matus pole uwazoee tu

huyu jamaa naonaga reply zake, anajitahid
 
Nice...nafurahi sana nkiona hivi..Ummy alisema wataanza Tabora..baada ya mtwara kuisha..my guess is hao hao NHC Watafanya..but kama pesa ipo kwanini wasianze sa hizi why wait Kumaliza ya Mtwara ...
 
Back
Top Bottom