Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakudanganya kua kariokoo ndio market kubwa in the region?. Do u know Eastleigh Nairobi?.... Eastleigh pekee ina mall nyingi kuliko Tz nzima
Nenda kariakoo pale utawakuta wazambia,wakongo,wamalawi,wacomoro,warundi wakinunua bidhaa na kupeleka kwao kuuza,hiyo eastleigh ya huko kunyaland anaijua nani!?
 
Hiyo ndio tunaita slum mentality, wengi wenu hapa najua huishi kwenye mabanda ndio sababu mnashanga nikisema affordable homesView attachment 1494550
Ww unawazimu ww kwahyo hayo majengo ndio wakaishi wakazi wa kwny slums, hv ninyi mtaacha kuongopewa lini, yn wanasiasa wanayachezea makalio yenu wanavyotaka, hayo majengo hata baadhi ya wakazi wa Dar ambao hakuna slums hawawezi afford ndo itakuwa nyie wazee wa kibera?
 
1. REA - umeme vijijin
2. Nyerere Power Plant
3. SGR
4. Dar, Tanga, Mtwara Ports
5. Minerals
6. EACOP - bomba la mafuta kutoka Uganda
7. Viwanda
8. you can add..

vitapaisha sana uchumi wetu na kuwatimulia vumbi hawa majirani kuelekea kuwa Upper Middle Income Country
 
Mimi kama mwanajamii wa jf nafarijika sana,tulianza huu uzi kama ldc now what....Tuko league moja na nyang'au
ni kweli mkuu,,,,,annael inabidi leo aonekane hata kidogo.....

huu uzi unaonyesha picha halisi ya Dar ilipotoka na inakoelekea.....

wakenya walianza kwa dharau mara ooh airport baada ya kipindi tuka clear mara ooh fly over tunawajengea sasa vitu vyenye ubora kuliko yale matofali yao ya kupanga wakaja na LDC sasa story nayo imefutika,,,,

sasa wanatafuta chakuongea....

hey kenyan whats next?
 
ni kweli mkuu,,,,,annael inabidi leo aonekane hata kidogo.....

huu uzi unaonyesha picha halisi ya Dar ilipotoka na inakoelekea.....

wakenya walisnza kwa dharau mara ooh airport baafa ya kipindi tuka clear mara ooh fly over tunawajengea sasa vitu vyenye ubora kuliko yale matofali yao ya kupanga wakaja na LDC sasa story nayo imefutika,,,,

sasa wanatafuta chakuongea....

hey kenyan whats next?
Kwakweli Annael alikuwa na moyo wa kishujaa sn cz by the time anapambana na hawa wajinga mambo mengi yalikuwa bado, nilikuwa nachungulia naona annael anapambana mpk na baadhi ya WaTz wakiamini kuwa Nairobi iko mbele ya Dar kitu ambacho hata mm kimoyomoyo nilikuwa nakubaliana nao ila roho ilikuwa inaniuma sn, bt nguvu zikanijia cku ambayo Magu anaenda kuweka jiwe la msingi ujenzi wa sgr hapo nkasema hawa wajinga hawaniambii kitu now
 
Kwakweli Annael alikuwa na moyo wa kishujaa sn cz by the time anapambana na hawa wajinga mambo mengi yalikuwa bado, nilikuwa nachungulia naona annael anapambana mpk na baadhi ya WaTz wakiamini kuwa Nairobi iko mbele ya Dar kitu ambacho hata mm kimoyomoyo nilikuwa nakubaliana nao ila roho ilikuwa inaniuma sn, bt nguvu zikanijia cku ambayo Magu anaenda kuweka jiwe la msingi ujenzi wa sgr hapo nkasema hawa wajinga hawaniambii kitu now
ni noma tunarudi kwenye kiti chetu na hatutowaachia hata meza tutawaachs empty

the KING'S BACK
 
This waiyaki highway 25km is so wide with 10 lanes
Screenshot_20200701-182517~3.png
 
Back
Top Bottom