Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na
NNaauuttoutau
Shhh..
DSC_0247-01.jpg
 
Haiwezi tokea, afu kuna kitu watu wengi hawajajua, Magufuli ni tozi hapendi vitu low quality, yn ukimuangalia personality yake unaweza sema ni wale watu wasiopenda ubishoo lkn ni tofauti kabisa na alivyo ukisikia anajenga kitu ujue ni imara na chenye muonekano mzuri yn Magu tozi
Niliwaambia wakenya huu mwaka huu lazima wao na mabeberu watii ,,wakawa wananudhihaki sasa watazidi kunichukia naona hadi komora096 kanywea si mchezo huu mwaka hadi uishe lazima mabeberu na wakenya wasisome namba
 
Kwakweli Annael alikuwa na moyo wa kishujaa sn cz by the time anapambana na hawa wajinga mambo mengi yalikuwa bado, nilikuwa nachungulia naona annael anapambana mpk na baadhi ya WaTz wakiamini kuwa Nairobi iko mbele ya Dar kitu ambacho hata mm kimoyomoyo nilikuwa nakubaliana nao ila roho ilikuwa inaniuma sn, bt nguvu zikanijia cku ambayo Magu anaenda kuweka jiwe la msingi ujenzi wa sgr hapo nkasema hawa wajinga hawaniambii kitu now
Sisi tupo hapa kitambo tunapambana mm hadi naona kupambana na Kenya ni kuwaonea maana Tanzania ilikuwa MIC kabla hata ya magufuli tulisha fika $1080 sasa baada ya magufuli tupo $1800 hivi hadi mwaka 2023 tutakuwa $2200 japo kama kawaida mabeberu wataficha kama walivyo Fanya sasa ,were tumia akili kidogo nchi kama Ghana na Cameroon zinaweza kuizidi tz kiuchumi !!!??? No way hata siku moja mijiyao ni midogo na masikini sana ,tazama majiji yao youtube bila kusahau nchi ya zambia
 
Kwakweli Annael alikuwa na moyo wa kishujaa sn cz by the time anapambana na hawa wajinga mambo mengi yalikuwa bado, nilikuwa nachungulia naona annael anapambana mpk na baadhi ya WaTz wakiamini kuwa Nairobi iko mbele ya Dar kitu ambacho hata mm kimoyomoyo nilikuwa nakubaliana nao ila roho ilikuwa inaniuma sn, bt nguvu zikanijia cku ambayo Magu anaenda kuweka jiwe la msingi ujenzi wa sgr hapo nkasema hawa wajinga hawaniambii kitu now
Kitu kilicho saidia wakati tunaanza huu Uzi ni kuwa wakenya wali tu under estimate sana hivyo tulikuwa tuna wapa mapigo wasiyo yajua
 
Halafu kinachowauma zaidi kwenye issue ya corona tumewapiga finger la kati
Wakenya wameshangaa mambo mengi kuhusu tz kati ya hayo ni
1) mvua yao kukwamia tz
2) wanyama pori kugoma kwenda Kenya kwenye msimu wa kwenda Kenya
3) vipi nzige wamechungulia tz wakarudi Kenya !!??? Tz kunani?
4) korona hii ndiyo imewaacha midomo wazi hadi mabeberu no
Haya mambo yamewafanya wakenya kushindwa kuelewa tz kuna ulinzi gani wa miujiza au uchawi ,ndiyo maana wanatuita wachawi sana

Send by APOLO 1
 
Watanzania wenzangu ALuta Continua, tuendelee kuujenga uchumi wa Tanzania...Tuwaache Wakenya waendelee kujenga uchumi wa Corona
Ni lazima tujitoe kwa moyo na kwa Nguvu zote...Hii ndio zawadi pekee kwa Rais wetu Mpenzi Ndugu yetu JPM.
 
Leo ni siku ambayo nna furaha sn cz ktk vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni mm The best 007 kuishi ldc yn inakuwaje mjanja km mm niishi ldc?, ndiyo kuna reli ya umeme kuna madaraja ya kila aina kuna umeme wa kutosha kuna maji ya kutosha kuna amani kuna majengo mazuri hakuna slums hakuna ufisadi wa kutisha km kwa wenzetu but ni ldc, yn ktk bakora ambazo Wakenya walikuwa wanafaulu kunitandika basi ni hyo kashfa ya ldc, nilikuwa siamini kabisa km nchi hii ni maskini yn siamini na sitokuja kuamini kamwe, lkn leo chini ya uongozi wa mkuluwole the most African visionary leader a.k.a the magician Dr. John Pombe Joseph Magufuli aibu hii imefutika rasmi na nishaizika ktk kaburi la sahau.
Hii haifichiki,Tumebarikiwa kuliko taifa lolote Africa. Mungu Ibariki Tanzania,na Rais Wetu JPM.
 
Back
Top Bottom