Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zamani walikua wanaomba waonyeshwe hata kipande cha kilometer kadhaa, siku hizi wanaona hadi nyaya za umeme na Tunnel zingine tushatoboa, wamehamia kweli asilimia .
Wanaipenda sana asilimia 70, ngoja iwasaidie kupunguza hasira kabla ya mambo kama alivyosema mkuu Geza pale Juu.
mambo yapi yakuvaa bikini kichwani😂😂
 
Zamani walikua wanaomba waonyeshwe hata kipande cha kilometer kadhaa, siku hizi wanaona hadi nyaya za umeme na Tunnel zingine tushatoboa, wamehamia kweli asilimia .
Wanaipenda sana asilimia 70, ngoja iwasaidie kupunguza hasira kabla ya mambo kama alivyosema mkuu Geza pale Juu.
Heheheheheeee wamebaki kutaja taja 70% na kupunguza urefu wa reli yetu kutoka Dar to Moro, hawapendi kusikia ni 300km
 
one among things i like about kenyans is they are the funnest guys in the social media
IMG_1593458224.062928.jpg
 
Back
Top Bottom