Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya oneni Middle Income tulipofika, komora096 angalia bus stand zetu zilivyo hata JKIA haigusi, kuna nyingine funika bovu ya mbezi soon tutaizindua

Ile ya Mbezi itakuwa ni noma alfu ..kulikuwa na pla ya Dar kuwa na Stand 3 kubwa za mabasi

1.Mbezi kwa ajili ya Route ya Mbeya na Mwanza na mikoa inayopitiwa na hayo mabasi

2.Boko/Bunju-- Kwa ajili ya Bagamoyo,Tanga Kilimajaro,Arusha

3.Mwandege-Kama sijakosea..Kwa mabasi ya-Lindi,Mtwara, Rufiji..etc..

ili kupunguza msongamano kwenda Stendi moja ya Mbezi

Nasuburi Pia Stendi ya Moshi nayo nimeona ni noma...sijajua plan za Arusha sijaona wameanza kujenga ,,Mwanza nao wanasuasua
 
Wameshtuka truck drivers wa Uganda kuanza kuhamia central corridor! Mbona wasiendelee kung'ang'ania kusafirisha mizigo Naivasha na garimoshi ati?
Tanzania tulichokozwa na idiamini kujeshi kukashinda vita wakenya wametuchokoza vita ya kiuchumi na yule ng'ombe tasa wao "COW" tunawapiga KO wamesha gundua tz ni muziki mzito
 
E5ACBB01-2345-45AD-A484-23666AD3FC3F.jpeg
1CAD484B-A428-49F5-B3D1-D473AFD2EDCB.jpeg
7BFC7F3C-F87A-4100-9749-05DB31AB24E2.jpeg
 
Back
Top Bottom