Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Ile ya Mbezi itakuwa ni noma alfu ..kulikuwa na pla ya Dar kuwa na Stand 3 kubwa za mabasiWakenya oneni Middle Income tulipofika, komora096 angalia bus stand zetu zilivyo hata JKIA haigusi, kuna nyingine funika bovu ya mbezi soon tutaizindua
1.Mbezi kwa ajili ya Route ya Mbeya na Mwanza na mikoa inayopitiwa na hayo mabasi
2.Boko/Bunju-- Kwa ajili ya Bagamoyo,Tanga Kilimajaro,Arusha
3.Mwandege-Kama sijakosea..Kwa mabasi ya-Lindi,Mtwara, Rufiji..etc..
ili kupunguza msongamano kwenda Stendi moja ya Mbezi
Nasuburi Pia Stendi ya Moshi nayo nimeona ni noma...sijajua plan za Arusha sijaona wameanza kujenga ,,Mwanza nao wanasuasua



