Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuna comment hapo kuna mtu anasema bado kenya is more advanced state kuliko wengine in EA,

hii inaonyesha kuwa kuna wakenya wengi bado wanadhan kenya ni advanced kuliko tanzania, bahati nzuri si sisi tu watanzania tutawaprove them wrong.. ni mitandao hiihii ndo itawaprove wrong.. shida ipo kwa wale wasiotumia mitandao.. ila hizi habari zitawafikia tu punde si punde kupitia tv na redio zao hukohuko nchi kwao
Wakenya wengi wana tabia ya kupenda kuficha vichwa vyao kwenye mchanga na kudhani wameendelea kuliko nchi zingine za Africa (hii imechangiwa na elimu yao kuwadanganya mnoo pamoja na media zao kuwajaza ujinga) kumbe wanajidanganya ndio maana wakigundua wameshapitwa kitambo wakiwa wako busy na siasa zisizoisha hubaki wakitumia chuki, wivu na ujinga kubishana humu.
 
Wakenya wengi wana tabia ya kupenda kuficha vichwa vyao kwenye mchanga na kudhani wameendelea kuliko nchi zingine za Africa (hii imechangiwa na elimu yao kuwadanganya mnoo pamoja na media zao kuwajaza ujinga) kumbe wanajidanganya ndio maana wakigundua wameshapitwa kitambo wakiwa wako busy na siasa zisizoisha hubaki wakitumia chuki, wivu na ujinga kubishana humu.
yaani bus hazieleweki kama zinaingia au zinatoka zimekaa kaa tu hata mafungu ya nyanya yako poa yako kwenye mpangilio
 
kuna comment hapo kuna mtu anasema bado kenya is more advanced state kuliko wengine in EA, hii inaonyesha kuwa kuna wakenya wengi bado wanadhan kenya ni advanced kuliko tanzania, bahati nzuri si sisi tu watanzania tutawaprove them wrong.. ni mitandao hiihii ndo itawaprove wrong.. shida ipo kwa wale wasiotumia mitandao.. ila hizi habari zitawafikia tu punde si punde kupitia tv na redio zao hukohuko nchi kwao
huyu ndo anajua ukweli[emoji1]
Mkuu ngoja kwanza tuingie Middle Income kwa kishindo then Wakenya wote watakuwa washajua kwamba Tz ni baba lao ukanda huu.
 
tunnel🇹🇿🇹🇿👇👇
9B58C0AA-D040-4786-A8E8-5DD0DFDAFE4B.jpeg

2759CAD4-5427-4681-98D8-E155410DC75F.jpeg
C6821227-B133-4078-8D00-623598B73B88.jpeg
 
kuna comment hapo kuna mtu anasema bado kenya is more advanced state kuliko wengine in EA, hii inaonyesha kuwa kuna wakenya wengi bado wanadhan kenya ni advanced kuliko tanzania, bahati nzuri si sisi tu watanzania tutawaprove them wrong.. ni mitandao hiihii ndo itawaprove wrong.. shida ipo kwa wale wasiotumia mitandao.. ila hizi habari zitawafikia tu punde si punde kupitia tv na redio zao hukohuko nchi kwao
huyu ndo anajua ukweli[emoji1]

Ile ya Dar ikiisha si watavaa chupi kichwani!
 
Back
Top Bottom