babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Haha mambo magumuKalale uko kunyan never use brain...View attachment 1492350
Hujui Construction Site ni nini? Huoni panajengwaKalale uko kunyan never use brain...View attachment 1492350
We pimbi construction site inahusian nini nayo muza kibandani apo....Hujui Construction Site ni nini? Huoni panajengwa View attachment 1492361
Ile fenc ndio mumemaliz nothing good come from kunyaHujui Construction Site ni nini? Huoni panajengwa View attachment 1492361







Cjui huwa wanamaanisha nn wanaposema kwamba hawana mpango na bus stand wkt hatuoni jitihada zozote za kuwa na njia mbadala ya kusolve tatizo la abiria kujisaidia nje.Hawa wa humu wanakuambia ati bus terminal hazina umuhimu kwao kumbe ni ule msemo wa sizitaki mbichi hizi.
Hawa wa humu wanakuambia ati bus terminal hazina umuhimu kwao kumbe ni ule msemo wa sizitaki mbichi hizi.
Kinauza nini hiyo sioniWe pimbi construction site inahusian nini nayo muza kibandani apo....
Usipanic....ndio sasa barabara zinajengwa uko upper hill, ngara, westie na kwingine tu
Duh, Bado tuna Safari Ndefu sana, Imagine hii ni CBD yenye tallest Tower in the Region. Yale yale Developer kafanya yake ila anayehusika na miundombinu (Gvt) kazingua .
Hizi ndio sura za CBD za majiji ya Africa
Hivi vibanda sijui ni mitaji wa walinzi?
View attachment 1492109
View attachment 1492110
View attachment 1492111
Imagine Hapa ndio uso( Mbele ) ya Tower mbili muhimu KCB tower na Britam Tower .
View attachment 1492112
View attachment 1492113
Kwa Tanzania hiyo ni dampo la takataka ila kwa kenya ni "bus stage"daah hapo ni sokoni ama dampo....![]()

