Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unataka nchi ijenge reli , bwawa la umeme, kukarabati n kunda meli za zamani n mpya, upanuaji wa bandari, ujenzi wa viwanja vya ndege ,kununua ndege na kununua rada,kujenga maghala ya vyakula nchi nzima,kusambaza maji na umeme mpaka vijijini , uwekezaj katika masoko y madini n kulinda raslimali hii adhim, kujenga mahospital na vituo vya afya, elimu bure msingi mpaka sekondari o level, hakuna mkoa ambao haujapata stend hata moja heidha mradi umekamilik au unajengwa, ujenzi wa masoko, hakuna mkoa hauja pata lami Tz yote mijini, sijui ma BRT 2 , Flyovers plus Interchange mara kibaha highway , sijui mwenge to moroco 9 lines mara uku Tanzanite bridge kule kigongo busisi sijui wami oohhh sijui uko Tanga nako mabridge ...hujakaa sawa unasikia mareli ya zamani yamefufuliwa ooh na mm ntaenda chuga kwa train yani utafikiri ni michezo ya kuigiza kumbe ndio ukweli huoo...mara deni la Taifa limeshuka aisee ....haya ni yale niliyo kumbuka kwa sasa [emoji16][emoji16] kweli unakuja n akili ya kuvukia barabar unasema kuongezwa vyeo n mishara ww wapaswa kujitafakari

fikiria nimekaa tu haya yote yanakuja kichwan
Ww km unamiliki nyumba au majumba utaelewa hili ...hakuna kazi kama kufanikisha kujenga nyumba yako especially for the first time mambo mengi lazima ya kwame...sasa huyu mzee Anaijenga nchi kwanza iyo mishara n vitu vingine vitakuja


Ivi siniwee uliye tufany watot kutuambia maswala ya kikwete kujenga km 8500 sijui 9000 za lami....Aisee ningejua ni ww nisinge jisumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani awamu ya 4 wakati ajira na mishahara inaongezeka walikuwa hawajengi? vyuo vya udom,udsm yombo theatre,na hospital za mlonganzila,ben mkapaa,moi,mbeya,singida nk,,viwanja vya songwe,dar terminal 3,kigoma nk,,barabara kila kona ikiwemo kigamboni interchange na magorofa makubwa nchi nzima ,Viwanda,Rea nknk ulijenga wewe? mkiambiwa nyie ni wapigaji mtabisha? kama vyote hvyo mnafanya propaganda na mapolisi kwa wapinzani ni vya nini? mumeshindwa kazi nyie mumebakia kujisifu tuu
 
jibu hoja awamu ya tano imejenga barabara zipi za kuunganisha mkoa na mkoa maana hakuna mkoa mpya uliofunguka
Wewe naona akili yako ina utapia mlo. Kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba awamu ya nne ilijenga hizo barabara za kuunganisha mikoa ndani ya miaka mitano tu? Hayo yote unayoyataja yalifanyika ndani ya miaka 10. Huna hoja ila unaishi kwa historia tu. NAONA SERIKALI YA JPM IMEKUGUSA KUNAKO NYETI ZAKO!
 
kwani awamu ya 4 wakati ajira na mishahara inaongezeka walikuwa hawajengi? vyuo vya udom,udsm yombo theatre,na hospital za mlonganzila,ben mkapaa,moi,mbeya,singida nk,,viwanja vya songwe,dar terminal 3,kigoma nk,,barabara kila kona ikiwemo kigamboni interchange na magorofa makubwa nchi nzima ,Viwanda,Rea nknk ulijenga wewe? mkiambiwa nyie ni wapigaji mtabisha? kama vyote hvyo mnafanya propaganda na mapolisi kwa wapinzani ni vya nini? mumeshindwa kazi nyie mumebakia kujisifu tuu
Embu nitole utoto wako apa chukua tu mradi wa train ya umeme na ujenzi wa bwawa la umeme kma hivyo ulivyo taja havijapotelea kwenye hiyo fedha y miradi miwili tu....tunaongelea nchi yenye kilomita za mraba laki tisa na ushehe wew unanitajia hospitali ratu...fika wakati kuwa...bwana .....iyo terminal three silikwama sababu ya ufinyu wa badget acha kuongea usicho jua ww...haupo kijiweni hapa
 
Sasa kama awamu iliyopita uchumi ulikuwa unakua kwa zaidi ya 7% annually huyu wa sasa atashindwa kumsukuma mlevi? mbona takwimu za uchumi wa sasa ziko tofauti kati ya za serikali na za mashirika ya fedha ya kimataifa
kwamba wodi za vituo vya afya na miradi ambayo haijakamilika na haijaanza kuingiza hata mia ndo imeipeleka nchi mido inkamu au
hakuna raisi anayetengeneza miundo mbinu iwe wa awamu ya kwanza mpaka ya sasa raisi ni mtu wa kutekeleza tu..... hivyo masuala sijui ya awamu ya nne, sijui ya tano, dijui ya tatu imefanya nini hizo zote si hoja za msingi...
hoja ya kipimo cha kiongozi yeyote yule kuanzia ngazi ya chini mpaka juu ni usimamizi bora unaoambatana na utekelezaji wa vitendo,unaposema flani kafanya nini inamaana awamu zote zilizopita hazijafanya kitu aliyefanya ni nyerere pekee... kwa sababu kuna vitu walivikuta tiyar kwenye paper...!!!?
vitu hujadiliwa bungeni na kupitishwa kazi inayobakia ni kutekeleza tu...kila raisi katekeleleza mambo kwa nafasi yake
STOP

TUWEKE UJINGA PEMBENI
 
kwani awamu ya 4 wakati ajira na mishahara inaongezeka walikuwa hawajengi? vyuo vya udom,udsm yombo theatre,na hospital za mlonganzila,ben mkapaa,moi,mbeya,singida nk,,viwanja vya songwe,dar terminal 3,kigoma nk,,barabara kila kona ikiwemo kigamboni interchange na magorofa makubwa nchi nzima ,Viwanda,Rea nknk ulijenga wewe? mkiambiwa nyie ni wapigaji mtabisha? kama vyote hvyo mnafanya propaganda na mapolisi kwa wapinzani ni vya nini? mumeshindwa kazi nyie mumebakia kujisifu tuu
Yani hivi ndio alifanya kwa miaka 10...sasa uyu wa mitano tumuwek wapi....uyo na kumi yake hata nusu afiki
 
kwani awamu ya 4 wakati ajira na mishahara inaongezeka walikuwa hawajengi? vyuo vya udom,udsm yombo theatre,na hospital za mlonganzila,ben mkapaa,moi,mbeya,singida nk,,viwanja vya songwe,dar terminal 3,kigoma nk,,barabara kila kona ikiwemo kigamboni interchange na magorofa makubwa nchi nzima ,Viwanda,Rea nknk ulijenga wewe? mkiambiwa nyie ni wapigaji mtabisha? kama vyote hvyo mnafanya propaganda na mapolisi kwa wapinzani ni vya nini? mumeshindwa kazi nyie mumebakia kujisifu tuu
Kwanza ujue mm siyo mumin wa vyama bali uchumi ...simpingi Kikwete hata kidogo sababu alifany kile aliweza kwa nafasi yake...lakini ww kwa akili yako huwez kuleta kejeli kwa mtu aliye fanya zaidi ya dhihada....izo siasa uchwara peleka kwenu bwana
 
Yani hivi ndio alifanya kwa miaka 10...sasa uyu wa mitano tumuwek wapi....uyo na kumi yake hata nusu afiki
hivyo ni baadhi tu list ni ndefu sana,jukwaa la siasa kuna thread utaikuta kaitafute..kwani huyu wenu miradi imekamilika si bado ni wimbo hu huo huo toka 2015
 
Hivi yule mkenya aliyejaribu kuingiza dhahabu kutoka Kenya yenye dhamani ya Tsh.2.9billion,kesi yake inaendaje?japo niliona imetaifishwa na TRA, tarime,mpaka wa Sirari.
 
Kwanza ujue mm siyo mumin wa vyama bali uchumi ...simpingi Kikwete hata kidogo sababu alifany kile aliweza kwa nafasi yake...lakini ww kwa akili yako huwez kuleta kejeli kwa mtu aliye fanya zaidi ya dhihada....izo siasa uchwara peleka kwenu bwana
kipi cha ziada alichofanya zaidi ya promo
 
Sasa kama awamu iliyopita uchumi ulikuwa unakua kwa zaidi ya 7% annually huyu wa sasa atashindwa kumsukuma mlevi? mbona takwimu za uchumi wa sasa ziko tofauti kati ya za serikali na za mashirika ya fedha ya kimataifa
kwamba wodi za vituo vya afya na miradi ambayo haijakamilika na haijaanza kuingiza hata mia ndo imeipeleka nchi mido inkamu au
Tanzania isingeweza kuwa middle Income hata kama Kikwete angekaa miaka 100, nchi ilishamshinda, hizo ajira unazosema ndo zile maelfu ya walimu walikuwa wanaajiriwa alafu hawaendi kwenye vituo vya kazi lkn mishahara inaingia, raisi yuko bize kwenda ulaya kuomba pesa kwa ajili ya kulipa mishahara unaendeleaje hapo? Hvyo hilo nalo linahitaji ufike form six kweli jamani? Ufisadi uliopindukia wa wazi wazi enzi za Kikwete, watu wanabeba pesa kwenye viroba ungefikaje middle Income status? Unadhani ni rahisi rahisi tu kuwa middle Income [emoji3][emoji3] umelogwa ww, unasema mradi wa BRT ni wa WB alioufanikisha Kikwete ndio ni kweli lkn ktk pesa hizo hizo za WB tumeshuhudia parking kubwa ya hayo mabasi ikijengwa mtoni yn hovyo hovyo, barabara nyingi zilikuwa zinajengwa chini ya kiwango watu walikuwa wakishangilia inapotangazwa zabuni cz walikuwa wanapiga kweli kweli ktk kila mradi na ndiyo maana barabara nyingi zilijengwa chini ya kiwango, Magu alikuwa anaenda site na nyundo anagonga inabomoka anasema warudie order inatoka juu kwamba aache, lkn kipindi hiki unawezaje kufanya hujuma kwenye miundombinu? Hiyo BRT ss awamu zote zitakamilika pasipo ubadhirifu wowote, miradi imekuwa ikifanyika kizalendo cz kuna kitu Magu kawaambukiza WaTz ambacho ni uzalendo, leo hii Tz imekuwa ni the second country ktk exportation ya zao la Avocado unadhani hyo nafasi imekuja tu km msaada? Mbn hatukushika namba hiyo wkt wa Jk? Leo hii tunatamba kwenye madini ambayo zamani mabeberu walikuwa wanasafirisha tu madini km yao huoni hilo? Wanyama km twiga kupandishwa ndege hilo unaona lilikuwa sawa c ndiyo? Yn ww kinachokusumbuwa ni chuki binafsi, nahisi ww co mTz au km mTz basi ww ulitumbuliwa either ulikuwa mwalimu hewa ww, af uyu mpuuzi amenifanya nianze kuponda uongozi uliopita wkt co Lego lng mbwa huyu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hakuna raisi anayetengeneza miundo mbinu iwe wa awamu ya kwanza mpaka ya sasa raisi ni mtu wa kutekeleza tu..... hivyo masuala sijui ya awamu ya nne, sijui ya tano, dijui ya tatu imefanya nini hizo zote si hoja za msingi...
hoja ya kipimo cha kiongozi yeyote yule kuanzia ngazi ya chini mpaka juu ni usimamizi bora unaoambatana na utekelezaji wa vitendo,unaposema flani kafanya nini inamaana awamu zote zilizopita hazijafanya kitu aliyefanya ni nyerere pekee... kwa sababu kuna vitu walivikuta tiyar kwenye paper...!!!?
vitu hujadiliwa bungeni na kupiyishwa kazi inayobakia ni kutekeleza tu...kila raisi katekeleleza mambo kwa nafasi yake
STOP

TUWEKE UJINGA PEMBENI
usinambie mimi waambie wapiga vuvuzela wa awamu ya 5 humu jukwaani maana awamu hii hata bunge limekuwa ni kiini macho
 
hivyo ni baadhi tu list ni ndefu sana,jukwaa la siasa kuna thread utaikuta kaitafute..kwani huyu wenu miradi imekamilika si bado ni wimbo hu huo huo toka 2015
Baadhi ya miradi imekamilika,kulingana na muda ulipoanza na ukubwa wa mradi,mingine ipo U/C, pole ndugu,najua Magu anawaumiza majizi kama nyinyi, vumilia tu,ila kumbuka Magu ni TANO TENA! Upende usipende.
 
kipi cha ziada alichofanya zaidi ya promo
hakuna raisi anayetengeneza miundo mbinu iwe wa awamu ya kwanza mpaka ya sasa raisi ni mtu wa kutekeleza tu..... hivyo masuala sijui ya awamu ya nne, sijui ya tano, dijui ya tatu imefanya nini hizo zote si hoja za msingi...
hoja ya kipimo cha kiongozi yeyote yule kuanzia ngazi ya chini mpaka juu ni usimamizi bora unaoambatana na utekelezaji wa vitendo,unaposema flani kafanya nini inamaana awamu zote zilizopita hazijafanya kitu aliyefanya ni nyerere pekee... kwa sababu kuna vitu walivikuta tiyar kwenye paper...!!!?
vitu hujadiliwa bungeni na kupitishwa kazi inayobakia ni kutekeleza tu...kila raisi katekeleleza mambo kwa nafasi yake
STOP

TUWEKE UJINGA PEMBENI
 
usinambie mimi waambie wapiga vuvuzela wa awamu ya 5 humu jukwaani maana awamu hii hata bunge limekuwa ni kiini macho
hata wewe pia unahusika, maana wewe ndiye uliyekazania awamu ya tatu mara ya nne mara ya tano,,,,,,,, anzisha thread yako jukwaa la siasa na uipe tittle Ya utendaji wa kila awamu..."
utakutana na wapenda siasa wenzako hapa unaiharibu hii thread mzee ojwani,, si sehemu sahihi ya hoja zako
 
Tanzania isingeweza kuwa middle Income hata kama Kikwete angekaa miaka 100, nchi ilishamshinda, hizo ajira unazosema ndo zile maelfu ya walimu walikuwa wanaajiriwa alafu hawaendi kwenye vituo vya kazi lkn mishahara inaingia, raisi yuko bize kwenda ulaya kuomba pesa kwa ajili ya kulipa mishahara unaendeleaje hapo? Hvyo hilo nalo linahitaji ufike form six kweli jamani? Ufisadi uliopindukia wa wazi wazi enzi za Kikwete, watu wanabeba pesa kwenye viroba ungefikaje middle Income status? Unadhani ni rahisi rahisi tu kuwa middle Income [emoji3][emoji3] umelogwa ww, unasema mradi wa BRT ni wa WB alioufanikisha Kikwete ndio ni kweli lkn ktk pesa hizo hizo za WB tumeshuhudia kituo kikubwa kikijengwa mtoni yn hovyo hovyo, barabara nyingi zilikuwa zinajengwa chini ya kiwango watu walikuwa wakishangilia inapotangazwa zabuni cz walikuwa wanapiga kweli kweli ktk kila mradi na ndiyo maana barabara nyingi zilijengwa chini ya kiwango, Magu alikuwa anaenda site na nyundo anagonga inabomoka anasema warudie order inatoka juu kwamba aache, lkn kipindi hiki unawezaje kufanya hujuma kwenye miundombinu? Hiyo BRT ss awamu zote zitakamilika pasipo ubadhirifu wowote, miradi imekuwa ikifanyika kizalendo cz kuna kitu Magu kawaambukiza WaTz ambacho ni uzalendo, leo hii Tz imekuwa ni the second county ktk exportation ya zao la Avocado unadhani hyo nafasi imekuja tu km msaada? Mbn hatukushika namba hiyo wkt wa Jk? Leo hii tunatamba kwenye madini ambayo zamani mabeberu walikuwa wanasafirisha tu madini km yao huoni hilo? Wanyama km twiga kupandishwa ndege hilo unaona lilikuwa sawa c ndiyo? Yn ww kinachokusumbuwa ni chuki binafsi, nahisi ww co mTz au km mTz basi ww ulitumbuliwa either ulikuwa mwalimu hewa ww, af uyu mpuuzi amenifanya nianze kuponda uongozi uliopita wkt co Lego lng mbwa huyu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hizi ni hadithi za kufikirika,kama hoja ni chini ya kiwango kwa nini wasirudie kujenga upya mabweni ya expansion joint? mtu aliyesimamia ubovu kipindi kile ndio huyo huyo anasimamia saizi..kama unabisha kafanye test ya ubora wa structures za saizi utapata majibu kuanzia vituo vya afya hadi mabweni ya force account..unajisumbua bure kuandika ncha hapa.Kazi ya kugawa pesa aliyokuwa anaifanya Lowassa saizi anafanya nanai? kuna siku uliwahi ona taarifa ya CAG imeleta matokeo chanya kwenye awamu hii toka 2015?
Utajitoa ufahamu sana lakini yote uliyoyasema kwa Jk uliyajua kwa vile freedom of expression ilikuwa kubwa ila saizi pamoja na kubana bado zinavuja tuu,kama unadhani mko sahihi basi acheni kutumia polisi na mahakama watu wawa outshine majukwaani ili wawaambie watu hali halisi ya awamu hii ikiwemo ile 1.5T aliyosema prof.Assad..naishia hapa tutajua yoooote baada ya 2025
Kuna improvement kidogo sana kama tu kila awamu ilivyofanya kujaribu kuonyesha utofauti na mtangulizi lakini ccm ni ileile hakuna kilichobadilika
 
hivyo ni baadhi tu list ni ndefu sana,jukwaa la siasa kuna thread utaikuta kaitafute..kwani huyu wenu miradi imekamilika si bado ni wimbo hu huo huo toka 2015
Blablabla kibao nothing to take from it....alifany lkn ukwel hauwez badilika uyu sio kufany ameua kabisa ndio mana uko desparate hapa....huna jipya
 
Back
Top Bottom