Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Meli ni tamu kichizi aisee.


Wakenya leten hata meli moja Tu ya serikali
FB_IMG_15933393692843952.jpeg
FB_IMG_15933393836328353.jpeg
tapatalk_1593335693374.jpeg
FB_IMG_15933331846953981.jpeg
FB_IMG_15933331948496169.jpeg
 
Awamu ya nne ilijenga reli gani?
Awamu ya nne shirika la ndege lilifia mikononi mwake.
Awamu ya nne meli zilifia mikononi mwake.
Kuna madeni ya walimu na wakandarasi Toka 2015 amekuja kulipa JPM.
Rushwa ilikithiri awamu ya nne.
Umeme ulikuwa unakatika hovyo, vijiji vya umeme vilikuwa elfu mbili na kitu pamoja na kuwepo ufadhili wa MCC.
Makusanyo ya kodi 850b, sasa hivi JPM a nakusanya karibu mara mbili ya JK.
Kuna halmashauri za wilaya na mikoa zilianzishwa bila miundombinu, sasa JPM ndio anaejenga ofisi, hospitali, vituo vya afya, stendi nk.
Miradi ya maji nk

Uking'ang'ania barabara tu, kumbuka kuna miradi mingine ambayo Jk wala hakuigusa JPM a nafanya.
Jiulize bwawa la umeme, sgr, na upanuzi bandari dar, hii miradi 3 JPM angeamua kujenga barabara tu zingekuwa km ngapi, ukumbuke miradi hii 3 ni zaidi ya trillioni 10.

Simlaumu Jk ila alikuwa na udhaifu fulani katika usimamiaji.
Asikwambie kitu kelel zote JK alijenga km6103 miaka 10 ....sasa uyu kajeng 3500 mial 5 nani kafany zaid
 
kwan mlipokua munajenga reli ikipita nairobi national park kulikua hakuna simba ??

alaf bahat nzuri

phase one iko 80% 300km
phasr two iko 38% 442km

na zote zinajengwa kwa speed ile ile the modern electric train in africa keep in ur mind
November last year 75%
 
Back
Top Bottom