Mikoa ambayo ilikuwa nyuma na haikufunguka ndio nguvu imewekwa huko.
Mpak wa Mhe.Magufulia anapambania kuinganisha Tabora na Kigoma maeneo ya Kaliua na Urambo yalikuwa bado. Mkoa wa Rukwa umeunfanishwa na Mpaka Kasanfa port vipi kati ya Rukwa-Katavi-Kigoma-Kagera. Hii nayo inaendelea
Sehemu kubwa ya miji na Majiji huoni kilichofanyika? Lami na taa huzioni
Musoma, Arusha, Shinyanga, Tabora, Kigoma, Iringa nk achilia mbali makubwa mengi yanayoendelea hapa Dar Es Salaam
Mfano. Singida hii
View attachment 1490858