Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna ile ramani ya Africa inayoonesha ldc countries huwa wanapenda kuituma tuma humu itabidi kwa sasa wajiandae kisaikolojia halafu mwingine ndio kaiweka kama dp yake humu.
Ss nasubiri mkenya wa kuijibu hii, mana ilikuwa tukiweka hii wao wanaweka ile ya LDC, ss ngoja niweke af tuone wao wataweka ipi, Tz is so lonely in the region[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1590744384546.jpeg
 
Ss nasubiri mkenya wa kuijibu hii, mana ilikuwa tukiweka hii wao wanaweka ile ya LDC, ss ngoja niweke af tuone wao wataweka ipi, Tz is so lonely in the region[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1490312
Mkenya atajuta kuwasaliti wenzake kwa kukimbilia uchumi usio na malengo.na ni lazima wajue tuko mbali kweli kweli.
 
Aisee Madereva Wa Dar Wanapimwa COVID -19. leo nimeenda National Health Lab Kushugulikia watu wanaotakiwa kusafiri na wanahitaji certificate kwenye Ile lab mpya mabibo nimekutana na Madereva wanaenda kuchukua majibu na certificates zao , Kuna dereva kaniambia haipendi Kenya , wanapima kwa mabavu na Ukiwa una hela basi we huna Corona[emoji23].


Baada ya hapo nimeenda Mabibo hata Huku uswahilini waenda kwa miguu wanaheshimiwa wana eneo la kujinafasi kutembea barabarani.
Kuna mtu alisema huko kwao eti ni eneo la walalahoi , kwa hiyo hata pa kutembea hawatakiwi kuwekewa vizuri.

By the Way , nilikua natembea kwenda kupanda mwendokasi Ubungo[emoji23]

Asikuambie mtu mfoleni wote ule Morogoro road halafu BRT bus inapasua tu.
Hawataelewa wanapanda fabricated isuzu trucks for Public Transport.

IMG_9501.jpg
 
Back
Top Bottom