Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna ile ramani ya Africa inayoonesha ldc countries huwa wanapenda kuituma tuma humu itabidi kwa sasa wajiandae kisaikolojia halafu mwingine ndio kaiweka kama dp yake humu.

kuna hii nyingine wanaikwepaga sana
IMG_1593192970.573893.jpg
 
Yan mpaka tunabembelezwa kukopa while wazee wa lockdown wanaendelea na lockdown ya ili waonewe huruma wa kupewa mkopo 😃
Hiyo ndiyo inaitwa "respek" kaka .

Wametuelewa kwa kutambua tuko njema kichwani, sisi sio wale waafrika waliowazoea, kupelekwa pelekwa kama punda. Niliwahi kusoma makala moja kuhusu Magu, nafikiri ilikuwa mwanzoni mwa 2016, wakisema, "huyu Rais ni kama hatumuelewi elewi vizuri". Wakimaanisha siyo kama wale...
 
Back
Top Bottom