Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hii ndio maana Tanzania Ina dollars millionaires wengi ukanda huu, state entity stamico kufanya watu dollar millionaires kila week

Wakenya Em leteni shughuli yoyote mliyonayo ya kulinganisha na hii inayoweza kumuingizia Mkenya wa kawaida kabisa pesa nyingi hivi kila week

 
EVKSEDkU0AMk7aB.jpg


State owned STAMICO mining site.
 
342.9km added. Tanzania oyee
Ninachofurahia pia zaid..kuna plan za Kujenga Tabora Zonal Refferal Hospital..Maana Watu wa Kigoma ,Tabora na Mpanda walikuwa wanahitaji kwenda Dom au Mwanza ..for specalized services ..Tabora Zonal Hospital itasaidia Western Zone ..na Hizi Barabara ya Tabora -Kigoma na Tabora Mpanda itafanya ifikikie kirahisi.hence huduma nzuri
 
Wao miradi yote ya mikopo ya kufa mtu ipo Nairobi tu.

Yaan hawa ndo ninacho washangaa..wameifanya Nairobi kuwa nchi...miaka michache ijayo kenya yote itafurika Nairobi, maana watu watakuwa wanafuata maendeleo ambayo kwenye regions zao hazipo na zinaishia Nairobi.

Nairobi itazidiwa kuliko majiji yote yyte uliowahi kuyasikia ulimwenguni. Very stupid country.

Na sidhani kama kuna kiongozi visionary wa kuweza kuishtukia hii ishu uko kenya na kuacha ku centralize maendeleo Nairobi na kupeleka kila pembe ya Kenya.

Kila mradi utasikia Nairobi, mara nn Nairobi...ina maana regions zingine za Kenya ni disaster. Poor Kenyans.
 
Yaan hawa ndo ninacho washangaa..wameifanya Nairobi kuwa nchi...miaka michache ijayo kenya yote itafurika Nairobi, maana watu watakuwa wanafuata maendeleo ambayo kwenye regions zao hazipo na zinaishia Nairobi.

Nairobi itazidiwa kuliko majiji yote yyte uliowahi kuyasikia ulimwenguni. Very stupid country.

Na sidhani kama kuna kiongozi visionary wa kuweza kuishtukia hii ishu uko kenya na kuacha ku centralize maendeleo Nairobi na kupeleka kila pembe ya Kenya.

Kila mradi utasikia Nairobi, mara nn Nairobi...ina maana regions zingine za Kenya ni disaster. Poor Kenyans.

Mji mkuu wa Kenya ni Nairobi
Makao makuu ya Kenya ni Nairobi
Kitovu cha biashara Kwa Kenya ni Nairobi
Mji wa kitalii kwa Kenya ni Nairobi

Very poor planning... ngoja huo mji uje kucheua
 
Heheheheheeee Wakenya hii thread imewatoa sn usingizini, huwa wanaongopewa shuleni kwao kwamba Tz iko nyuma yao kivyote, na vile wanaongea ongea kdg vibroken English basi wanadhani wamemaliza, ss hii thread imewazndua na huwez kumdanganya mkenya kwamba Tz imelala au kenya inazd Tz hatokuelewa, na hofu yng ni pale miradi yetu itakapokamilika yn sipati picha rais ajaye wa kenya atakavyopata shida mana uhuru kaharibu haribu uchumi wao, ss rais ajaye atataka kujitutumua kwenda sawa na Tz yny uchumi mkubwa na ndipo atakapoonekana anacheza, kila atapogeuka atakutana na vigingi kutoka kwa wenye nchi yao wachina
 
Ninachofurahia pia zaid..kuna plan za Kujenga Tabora Zonal Refferal Hospital..Maana Watu wa Kigoma ,Tabora na Mpanda walikuwa wanahitaji kwenda Dom au Mwanza ..for specalized services ..Tabora Zonal Hospital itasaidia Western Zone ..na Hizi Barabara ya Tabora -Kigoma na Tabora Mpanda itafanya ifikikie kirahisi.hence huduma nzuri
Mikoa ya magharibi walisahaulika sana yani apo wanaona Ni kama miujiza wakati ni vitu walistahili kua navyo kitambo sana

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom