Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapana.

Liberation of Southern Africa ndio limetichelewesha sana.

Hao vibaraka waliojitenga na kujenga uchumi wao na kuwapuuza waafrika waliokua wanaomba msaada wako wapi sasa, wamepata nini cha ziada?, si ndio wao kila siku wanawalamba miguu South Afrika ili wwawaondolee visa?. Kila siku wao wanajikomba kwa Afrika ili wafanye biashara na hizo nchi walizozisaliti?.
 
Siku Air Tanzania ikianza kuingia Nairobi ndo wataamini kuwa hatutanii katika kuifanya TZ kuwa Transport Hub. Na inavyoonekana route za Nairobi zitaanza baada ya vyombo vipya vile vya Airbus kuwasili. Yaan kama hawatafanya hujuma kwnye uwanja wao wa ndege..nawahakikishia Wakenya kuwa tunaenda kupindua Meza nchini Kwao.

Nilipanda Air Tanzania wiki iliopita, aisee huduma za mule ndan ziko unique kabisa na mashirika ya ukanda wetu, unapigwa kwenye meno na Korosho za Mtwara hujakaa vizur unapigwa wine ya Shingo ya kutoka kule dodoma...ebhana eeeh hakuna Mkenya atakaye panda KQ wakati Brand New Air Tanzania ipo Nchini kwao with unforgettable services.

Ngoja midude ianze kuingia Nairobi, yaani tutakuwa tumeenda kuizika rasmi KQ.
 
Hao vibaraka waliojitenga na kujenga uchumi wao na kuwapuuza waafrika waliokua wanaomba msaada wako wapi sasa, wamepata nini cha ziada?, si ndio wao kila siku wanawalamba miguu South Afrika ili wwawaondolee visa?. Kila siku wao wanajikomba kwa Afrika ili wafanye biashara na hizo nchi walizozisaliti?.
Wana uchumi gani zaidi ya wa kuongea mdomoni, wanashindwa hata kuzoa takataka Nairobi.
 
Hapana.

Liberation of Southern Africa ndio limetichelewesha sana.

Ss kwny hyo liberation of southern countries ndiyo tulipokuwa tunaaply huo ujamaa, yn tulikuwa tunawasaidia ktk ukombozi then hatuchukui kitu kutoka kwao, yn tunapoteza fedha zetu lkn ujamaa ukatufanya tusi target sehemu zenye mali ili ku compensate resources tulizopoteza, mkuu hatuwezi kupinga hilo, hata China ilishaachana na hyo itikadi ya ujamaa kutokana na dunia ya kibepari tuliyonayo kwa ss.
 
Ss kwny hyo liberation of southern countries ndiyo tulipokuwa tunaaply huo ujamaa, yn tulikuwa tunawasaidia ktk ukombozi then hatuchukui kitu kutoka kwao, yn tunapoteza fedha zetu lkn ujamaa ukatufanya tusi target sehemu zenye mali ili ku compensate resources tulizopoteza, mkuu hatuwezi kupinga hilo, hata China ilishaachana na hyo itikadi ya ujamaa kutokana na dunia ya kibepari tuliyonayo kwa ss.
Onyesha ni wapi ubepari ulifanikiwa nje ya Europe na Amerika ya kaskazini ambazo uchumi wao ulijengwa kwa misingi ya kikoloni kwa kuhamisha Mali na watumwa toka nchi zilizotawaliwa?.

Kwa kifupi ubepari umesababisha mataifa mengi ya dunia ya tatu kuingia katika migogoro mingi itokanayo na tofauti kubwa ya vipato miongoni mwao. Ujamaa misingi yake mikubwa ni utu na kupunguza matabaka miongoni mwa jamii, jambo ambalo Tanzania imefanikiwa sana na dunia inajua hivyo.

Ujamaa umetusaidia sana kupunguza " Scramble for resources " hivyo kila mtu au kabila kutojiona ametengwa katika keki ya Taifa, jambo ambalo limesaidia kuondoa ukabila la kujenga umoja wa kitaifa. Taja nchi yoyote ya dunia ya Tatu(Africa), iliyofuata Sera za kibepari na ikafanikiwa kupata maendeleo ya wananchi waliowengi.
 
iringa dar👇👇👇
6EBFD4E4-AD84-410D-BF6C-A7521A37E241.jpeg
6E8BAD6B-FE10-463B-874A-49475B8FDBF2.jpeg
74CECA20-9B8E-491E-B9AC-4E7B61363970.jpeg
 
Back
Top Bottom