Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JKIA to Westlands Expressway mwendo ni pole pole. I pity wale wachawi wenye hawaamini kuwa ujenzi hujaanza hadi waone signboard.

EbIH0jZXQAAeNcI.jpg
EbIH1l9XkAAGr0K.jpg
EbIHygbWoAAFPrz.jpg
EbIHzUpXYAAobL6.jpg
 
Amkeni amkeni! kama Mkuu Wanjala alivyosema Msipoteze Bundle lenu , hamna kitu cha kutisha humo, Wanafanya tuliyofanya Sokoine Drive, Uhuru Road siku nyingi . Ukiacha barabara zote Za BRT over 20km ambazo Both sides ni Cyclists and Pedestrian Friendly.

Kabla hukafika CBD yao ni Chaos kama kawa kwenye majiji yote ya Dunia ya Tatu. Vumbi na mchanga zinashindana na lami barabarani

Mfano hapa mmeweka Zebra je Kuzitumia hizi Zebra mtembea kwa miguu anatokea wapi? Na akimaliza , Mmemfikiria? Anapambana na Negelected side walks.

View attachment 1486169
View attachment 1486170

Huku nje nje kama kawa maeneo mengine ya Dunia ya Tatu.

View attachment 1486171
View attachment 1486172
View attachment 1486173

Huku CBD labda mkishamaliza tujr tulinganishe Vizuri.Ntakuwepo hapa tufananishe kila kona


View attachment 1486174
View attachment 1486175
View attachment 1486176


Ulivyosema hatuwezi shindana tena nilitegemea Matured CBD street View kama hizi:

View attachment 1486178
View attachment 1486179
View attachment 1486180
View attachment 1486181
View attachment 1486182
View attachment 1486183


BTW hiyo ni Sandton mnayofanisha na UpperHill, Ni mbingunna Ardhi.
Na zile kelele zote huna data za kuwatch 1080 quality video? 144 ni aibu kwako mzee.
 
Nairobi imepigwa pictures imeisha yote

Dar ndio kwaaanza hata nusu hatujafika, ndio maana hivi vitasa unavyowagonga navyo saivi hawaamini macho yao kama hii ni Dar.
Mkuu tuliwahi kusema humu Dar kuna sehemu nyng bado hazijamulikwa wakabisha, infact kuna location nyng humu NDINDA anazpost wengi wetu wala hatujawahi ziona
 
Hapo kuna reserve ya pembeni na katikati ya barabara,ya katikati kwa ajili ya brt,ya pembeni mambo ya 8 lanes nyerere aliuandaa huo mji kwa vizazi visije kupata ugumu ku upgrade pindi muda utakapofika angalia morogoro road ilipofikia inahitajika brt watu wala awakuumiza kichwa,kama kilwa road now
Zamani wakati nipo kijana mdogo nilikuwa najiuliza hayo manafasi makubwa kati kati ya barabara ya nn wameyaacha hivyo, kumbe I was too younger to argue
 
Amkeni amkeni! kama Mkuu Wanjala alivyosema Msipoteze Bundle lenu , hamna kitu cha kutisha humo, Wanafanya tuliyofanya Sokoine Drive, Uhuru Road siku nyingi . Ukiacha barabara zote Za BRT over 20km ambazo Both sides ni Cyclists and Pedestrian Friendly.

Kabla hukafika CBD yao ni Chaos kama kawa kwenye majiji yote ya Dunia ya Tatu. Vumbi na mchanga zinashindana na lami barabarani

Mfano hapa mmeweka Zebra je Kuzitumia hizi Zebra mtembea kwa miguu anatokea wapi? Na akimaliza , Mmemfikiria? Anapambana na Negelected side walks.

View attachment 1486169
View attachment 1486170

Huku nje nje kama kawa maeneo mengine ya Dunia ya Tatu.

View attachment 1486171
View attachment 1486172
View attachment 1486173

Huku CBD labda mkishamaliza tujr tulinganishe Vizuri.Ntakuwepo hapa tufananishe kila kona


View attachment 1486174
View attachment 1486175
View attachment 1486176


Ulivyosema hatuwezi shindana tena nilitegemea Matured CBD street View kama hizi:

View attachment 1486178
View attachment 1486179
View attachment 1486180
View attachment 1486181
View attachment 1486182
View attachment 1486183


BTW hiyo ni Sandton mnayofanisha na UpperHill, Ni mbingunna Ardhi.
NDINDA bhn
 
Back
Top Bottom