Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Salute to UG,doing better than TZ,quality highways ka za Kenya tu
Ukimpa JPM hiyo fedha anajenga 4 lanes Dar Dodoma!
Salute to UG,doing better than TZ,quality highways ka za Kenya tu
Viongozi wa Afrika wana laana sn wallahi, hyo pesa ni nyingi mno kwa road hyo, $476mil????Salute to UG,doing better than TZ,quality highways ka za Kenya tu
Yaani JPM mpatie hiyo fedha halafu atafute kwingine kama $200 mln za madaraja haki ya Mungu inafika Dodoma! Tena contractor kampuni ya Kitanzania Estim na consultant TANROAD!Viongozi wa Afrika wana laana sn wallahi, hyo pesa ni nyingi mno kwa road hyo, $476mil????
Kumbe huu ndio ujinga wanaofundishwa shuleni!
Ndio maana wana akili fupi,
Point of correction: Tz ndio ina billionaire na milionea wengi ukanda huu.
JPM mwamba hawezi ku tolerate upuuzi km huo, yn kwao ni fahari kuitwa road expensive duniani wkt kuna roads zipo ulaya na kwngneko kali mno na approximation ya price inagoma kwny $1mil per km, this is bullshit, nmeona kuna mkenya amesifu bila hata ya ku doubt, very lazy people.Yaani JPM mpatie hiyo fedha halafu atafute kwingine kama $200 mln za madaraja haki ya Mungu inafika Dodoma! Tena contractor kampuni ya Kitanzania Estim na consultant TANROAD!
Bruh! Do you know what the word “sidewalk” means??That place is some kind of quad where people can sit and relax. I mean it could even be a certain building’s property
![]()


hata aibu hana!Cku hz wana adabu na Tznimechelewa kuiona hii.. ila hii comment imeniuma..
ni kweli bana wanadanganywa.. ndo mana mpk leo wakenya wengi wanadhan wao ni bora au wametuzidi kila kitu kuliko sisi. Good thing is Magu kawajua hawa jamaa na anawata hawaprove wrong wenye mawazo kama haya


Usiwacheke sana ile territory ya Somalia ina mafuta kwa hiyo ngoja wakatamie mayai kwa miaka miwili UNSC Kwa kadi ya turufu ku-veto usikilizwaji wa kesi yao ICC! Ila Somalia itazaa nao pretty soon! Msomali (Wajukuu wa Maahdi ) hawaibiwi !Yaani hawa jamaa tunawakaba Pumbu bila kustuka ngoja waendelee na hizo ngonjera zao
Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
Utataka kusema Kiswahili tuliletewa???If you knew the history of Swahili that you are so proud of, you wouldn't have said this
Huyu mkurugenzi wa sasa hana ubunifu...ama pengine kuna vikwazo mbele yake......Ila Rais wetu akinusa huko tutakuwa mbaliCRDB wameonyesha njia wanatakiwa kupewa nguvu ili wapenye Rwanda, DRC, Zambia na Uganda.
Hii barabara inamaliza mzunguko wa kutokea Sumbawanga uende hadi dodoma ndio uunge kwenda mwanza...bonge la project ilo..pia itafupisha sana wanaotoka Tabora kwenda kigoma au kwenda Sumbawanga
Hivi ni vitu vidogo sana...TANZANIA tuna makabila 120...wala hatuulizani.... madaraka na Nyadhifa hazitolewi kwa misingi ya ukabila.
Huko kwao si wanaubirigi tuu Ukabila...wakati huku kwetu tunaongelea Utanzania....na Ndo maana hata yule Joseph Mungai,wazazi wake walikimbia njaa huko Kunyaland lkn kwa kuwa Mungai alizaliwa hapa hatukusita hata kuwapa Uongozi....Tanzania tuko mbali saana.Kuna mwenzako mmoja mpumbavu,baada ya kusikia tz ina $millionaires wengu kuliko KE,akasema top 10 wote ni wahindi.
Nikajiuliza hoja yake ni rangi zao au lugha wanazozungimza jibu sikupata pia.
MO kama walivyo wengine ni mtz mwenye asili ya india,aliyezaliwa singida na kukulia hapo.baba yake pia alizaliwa hapo singida.nashangaa jambo linakuwa jema linapofanywa na kenya,ila nchi nyingine hata inhefanya lwa ustadi namna gano ingeonekana haifanyi sawa.
Wavivu wa fikra na kudadisi.JPM mwamba hawezi ku tolerate upuuzi km huo, yn kwao ni fahari kuitwa road expensive duniani wkt kuna roads zipo ulaya na kwngneko kali mno na approximation ya price inagoma kwny $1mil per km, this is bullshit, nmeona kuna mkenya amesifu bila hata ya ku doubt, very lazy people.

Nime tii.
Huko kwao si wanaubirigi tuu Ukabila...wakati huku kwetu tunaongelea Utanzania....na Ndo maana hata yule Joseph Mungai,wazazi wake walikimbia njaa huko Kunyaland lkn kwa kuwa Mungai alizaliwa hapa hatukusita hata kuwapa Uongozi....Tanzania tuko mbali saana.
Level ya uongozi Tz ....Africa haipo.....nyie endeleeni na hizo Handshake na BBI....Indeed, mko mbali aiseNime tii.
Hii ni nyota ya Africa..ni kipenzi cha wengi...Uwezi mlinganisha na kina Uhunye.....huyu ni level za kina Sankara,Maurice Bishop,Fidel,Gadafil,etc..Kuanzia Uhuru Kenyatta na serikali yake yote, na hata huyo Odinga anaejinasibu ni rafiki mkubwa wa Magu.. pamoja na wakenya wote wanamuogopa sana huyu jamaa
View attachment 1485508