Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

China ilikuwa ni nchi ya kijamaa but nowadays it's no longer a communist state, ujamaa ulisaidia kwa wakati wake lkn kwa sasa haiwezekani ku exist, ni ngumu sana, kwa kipindi kile ulifaa hasa ktk kujenga misingi ya utu, lkn kwa sasa haiwezekani mkuu tukubali tukatae, hata hapa Tanzania umeshaanza kututoka japo ile misingi bado tunayo but ule ujamaa umeondoka miongoni mwetu, ukitaka kuamini angalia hata kwa ngazi ya familia, unakuta chao chao chetu chetu iko hvyo, alafu mkuu ubepari kwa Afrika unafeli kwasababu ya ulafi wa viongozi wetu, lkn ukimpata kiongozi dizain ya Magu hamuwezi shindwa, btw even our president amejipambanua kwmb yy ni bepari.
China ni "Communist state" na haitokaa ibadilike, kufungua masoko na kufanya biashara huo sio ubepari, bado china na Tanzania zinafuta misingi ya kijamaa inayosisitiza kwamba dola(Serikali) ndiyo yenye jukumu la kuhakikisha kila raia ana haki ya kupata huduma bora za msingi za kibinadamu bila kujali kipato chake.

Serikali katika misingi ya Communist/Ujamaa, lazima iwe na mamlaka kamili katika umiliki na matumizi ya ardhi, kuhakikisha kila mwenyekuhitaji ardhi kwa ajili ya kujipatia mahitaji ya kibinadamu kama chakula na malazi anaipata bila kunyonywa na matajiri, na kuhakikisha kwamba ardhi ya nchi inatumika kwa manufaa ya watu wengi.

Communist/Ujamaa unazingatia kwamba wale matajiri wanakatwa kodi kubwa ili kuwasaidia masikini, kwamba Afya ya msingi(Primary health care), elimu ya msingi ni haki ya kila raia na lazima vipatikane bure bila malipo.

Hayo ndio mambo ya msingi yanayotofautisha Communism/ Ujamaa vs Capitalism. China na Tanzania bado wanafuata hayo yote, Tofauti na nchi za Kibepari ambako ardhi ni bidhaa sawa na bidhaa yoyote ile, Leo hii ukiwa na pesa unaweza kwenda Marekani ukajinunulia kisiwa chako bila hata kuwa raia.
 
China ni "Communist state" na haitokaa ibadilike, kufungua masoko na kufanya biashara huo sio ubepari, bado china na Tanzania zinafuta misingi ya kijamaa inayosisitiza kwamba dola(Serikali) ndiyo yenye jukumu la kuhakikisha kila raia ana haki ya kupata huduma bora za msingi za kibinadamu bila kujali kipato chake.

Serikali katika misingi ya Communist/Ujamaa, lazima iwe na mamlaka kamili katika umiliki na matumizi ya ardhi, kuhakikisha kila mwenyekuhitaji ardhi kwa ajili ya kujipatia mahitaji ya kibinadamu kama chakula na malazi anaipata bila kunyonywa na matajiri, na kuhakikisha kwamba ardhi ya nchi inatumika kwa manufaa ya watu wengi.

Communist/Ujamaa unazingatia kwamba wale matajiri wanakatwa kodi kubwa ili kuwasaidia masikini, kwamba Afya ya msingi(Primary health care), elimu ya msingi ni haki ya kila raia na lazima vipatikane bure bila malipo.

Hayo ndio mambo ya msingi yanayotofautisha Communism/ Ujamaa vs Capitalism. China na Tanzania bado wanafuata hayo yote, Tofauti na nchi za Kibepari ambako ardhi ni bidhaa sawa na bidhaa yoyote ile, Leo hii ukiwa na pesa unaweza kwenda Marekani ukajinunulia kisiwa chako bila hata kuwa raia.
Binafsi ni muumini wa socialism ila nnachojua mm hii stage haiwezi ku operate kwenye zama hizi labda kwa kuigiza tu cz nature tuliyonayo dunia ya leo socialism mode ni ngumu, but as long as kwa ss tunaelekea pazuri na ule ujinga tuliokuwa nao huko nyuma wa kuamini kila mtu ni ndugu yetu ss umeanza kututoka na tunabanana nao kmy kmy.
 
Binafsi ni muumini wa socialism ila nnachojua mm hii stage haiwezi ku operate kwenye zama hizi labda kwa kuigiza tu cz nature tuliyonayo dunia ya leo socialism mode ni ngumu, but as long as kwa ss tunaelekea pazuri na ule ujinga tuliokuwa nao huko nyuma wa kuamini kila mtu ni ndugu yetu ss umeanza kututoka na tunabanana nao kmy kmy.
China ni mfano mzuri wa mafanikio ya siasa ya Ujamaa, Tanzania tunapiga hatua chini ya siasa na misingi ya Ujamaa, Cuba, Namibia, Botwasana zote hizo zinafuata misingi ya ujamaa.

Tatizo kubwa ni ulegevu na udhahifu wa kusimamia rasilimali za nchi katika hizi nchi za dunia ya tatu. Sasa hivi tunaona tofauti kubwa sana kati ya Magufuli na waliopita bila kubadilisha katiba wala Sera za uchumi, tofauti ni mtu aliyepo Ikulu tu.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema"Huwa anasoma na kurudia kitabu cha Azimio la Arusha, hajawahi kuona Mapungufu yake". Kwa mazingira ya nchi zetu hizi za Africa, Ujamaa is the best way to go, only we need serious and visionary leaders.
 
China ni mfano mzuri wa mafanikio ya siasa ya Ujamaa, Tanzania tunapiga hatua chini ya siasa na misingi ya Ujamaa, Cuba, Namibia, Botwasana zote hizo zinafuata misingi ya ujamaa.

Tatizo kubwa ni ulegevu na udhahifu wa kusimamia rasilimali za nchi katika hizi nchi za dunia ya tatu. Sasa hivi tunaona tofauti kubwa sana kati ya Magufuli na waliopita bila kubadilisha katiba wala Sera za uchumi, tofauti ni mtu aliyepo Ikulu tu.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema"Huwa anasoma na kurudia kitabu cha Azimio la Arusha, hajawahi kuona Mapungufu yake". Kwa mazingira ya nchi zetu hizi za Africa, Ujamaa is the best way to go, only we need serious and visionary leaders.
Sure.
 
China ilikuwa ni nchi ya kijamaa but nowadays it's no longer a communist state, ujamaa ulisaidia kwa wakati wake lkn kwa sasa haiwezekani ku exist, ni ngumu sana, kwa kipindi kile ulifaa hasa ktk kujenga misingi ya utu, lkn kwa sasa haiwezekani mkuu tukubali tukatae, hata hapa Tanzania umeshaanza kututoka japo ile misingi bado tunayo but ule ujamaa umeondoka miongoni mwetu, ukitaka kuamini angalia hata kwa ngazi ya familia, unakuta chao chao chetu chetu iko hvyo, alafu mkuu ubepari kwa Afrika unafeli kwasababu ya ulafi wa viongozi wetu, lkn ukimpata kiongozi dizain ya Magu hamuwezi shindwa, btw even our president amejipambanua kwmb yy ni bepari.
Kwa upande wangu nadhani kama hukuapply ubepari wakati wa utumwa wa kipunda ni ngumu sana kufanikiwa kupitia ubepari kwa sasa kwa sababu ili ufaninikiwe kwenye ubepari ni lazima utumikishe tabaka fulani ambapo haisaidii sana kama tabaka hilo ni mojawapo ya jamii zilizopo nchini kwenu. Ubepari wanaoutumia mataifa yaliyofanikiwa kwa sasa ni:
1. Kukopesha, bank ikimkopesha mtu anaweza kupotea wasimpate lakini kukopesha nchi fulani huna cha kupoteza
2. Cheap labor kwa kuwekeza kwenye nchi ambazo watu wanaweza kukubali kulipwa kidogo huku wakifanya kazi kwa bidii na ndio maana makampuni mengi ya wabepari yalielekeza nguvu zao kwa wachina na wahindi.
Sasa wachina wengi wameshatoka kwenye cheap labors na wazungu wanaanza kutafuta sehemu nyingine na kama megundua wengi now wameanza kuwekeza Vietnam.
So hata China haikua na ujamaa 100%, ni bepari mchafu sana na hawakuanza leo kama umepitia historia za wakorea mchina ni mnyama.
So kwa upande wangu mbinu ya kufanikiwa kwa mataifa yetu ni cheap labor + uadilifu kwenye uongozi ili mapato yatumike baadae kutumikisha nchi zingine
 
Binafsi ni muumini wa socialism ila nnachojua mm hii stage haiwezi ku operate kwenye zama hizi labda kwa kuigiza tu cz nature tuliyonayo dunia ya leo socialism mode ni ngumu, but as long as kwa ss tunaelekea pazuri na ule ujinga tuliokuwa nao huko nyuma wa kuamini kila mtu ni ndugu yetu ss umeanza kututoka na tunabanana nao kmy kmy.
Short and clear
 
China ni mfano mzuri wa mafanikio ya siasa ya Ujamaa, Tanzania tunapiga hatua chini ya siasa na misingi ya Ujamaa, Cuba, Namibia, Botwasana zote hizo zinafuata misingi ya ujamaa.

Tatizo kubwa ni ulegevu na udhahifu wa kusimamia rasilimali za nchi katika hizi nchi za dunia ya tatu. Sasa hivi tunaona tofauti kubwa sana kati ya Magufuli na waliopita bila kubadilisha katiba wala Sera za uchumi, tofauti ni mtu aliyepo Ikulu tu.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema"Huwa anasoma na kurudia kitabu cha Azimio la Arusha, hajawahi kuona Mapungufu yake". Kwa mazingira ya nchi zetu hizi za Africa, Ujamaa is the best way to go, only we need serious and visionary leaders.
Nmekubali kuntu zako
 
Ethiopian Airline Descending to Land at JNIA. Taken with a phone.

IMG_9193.jpg


IMG_9192.jpg
 
Back
Top Bottom