Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye suala la umeme naona kabisa tunaenda mwendo mzuri...izo 5000MW yanawezekana zikapatikana before 2025

Kila nikiwaza RSA Wana 50000MW na haziwatoshi naona kabisa kazi bado
Ila tuna hazina kubwa ya rasilimali za umeme,,,RSA umeme wao mwingi ni wa Uranium,...na sisi tuna Uranium.....achilia mbali Mikoa kama Singida,Kilimanjaro(Same)kuna mikondo ya upepo....for the future Taifa letu litawekeza Uko... inatakiwa hawa Makunyaland wawe supplied na sisi kwenye hii secta ya stima.
 
Iconic
25ED769E-5492-427B-B9F2-3F4E27BAF906.jpeg
591A1ECD-ADDE-44B5-803D-32BBB3BA67EC.jpeg
3EAAA5E9-4E40-4AD8-B0CF-395CF1338A63.jpeg
 
Dalili zote za kuwatupa kiuchumi zipo wazi na raia wao washaujua ukweli, ndio maana cku hz hawaishi kutuzungumzia wana hofu mno.
Swala la kuongoza kanda hii liko wazi,sio tamaa,tuna kila sababu,ukubwa wa nchi yetu,wingi wa watu wetu,umoja wetu ,eneo sawia la kijeofrafia,rasilimali asilia na mwisho kabisa Ungozi bora na siasa safi.....ilikua ni swala la Muda na kujifunza kwa makini. OUR ECONOMY IS UNSTOPPABLE.
 
Wewe choko nn? Nenda kapakatwe hebu leta maabara ya Polytechnic university hapo Kunyaland!
kwani mimi niko kunyaland? haibadili ukweli kwamba hao ma architects wa chuo kinachojiita cha teknolojia wamezingua,kwani hawaoni vyuo vya level zao vilivyo na majengo mazuri?
 
Back
Top Bottom