Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Yaani hili jengo ndio la maabara ya chuo kikuu eti cha sayansi na teknolojia? Hili jengo na wodi za hospital zina tofauti gani? Vyuo vingine vinakera kwa kweli jengo ugly kiasi hicho ,kwamba hawajaona majengo ya vyo vya wenzao kama udsm au udom nk nk? hawa ni poor kabisa kwenye ubunifu wa majengo yenye mvuto afu wanatoa na kozi ya architecture
Wewe choko nn? Nenda kapakatwe hebu leta maabara ya Polytechnic university hapo Kunyaland!
