kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
SGR first class,,mtaelewa tu


Kuna zile account za twitter na instagram zilikuwa busy kueneza uwongo kuhusu Tz kwenye janga la corona hadi media za kunyaland zikafanya source za habari zao mbona siku hizi zipo kimya!
What happened.


Nieleweshe vzur hii
Huijui Nairobi wewe.1 Dar kinachonikera ni uchafu, vibaka, utapeli na ushamba ndani yake
2 Nairobi ni jiji safi ila watu wake most of them wanaroho mbaya, hawana tofauti na wahindi.
Usafi gani unazungumzia,?wa mavazi ama?maana yale maslum yenu tyari ni uchafu ndani ya jiji.1 Dar kinachonikera ni uchafu, vibaka, utapeli na ushamba ndani yake
2 Nairobi ni jiji safi ila watu wake most of them wanaroho mbaya, hawana tofauti na wahindi.
Usafi gani unazungumzia,?wa mavazi ama?maana yale maslum yenu tyari ni uchafu ndani ya jiji.
Umeona slum ndan ya Dar??Usafi wa jiji nazungumzia
Umeona slum ndan ya Dar??
dah hakuna uchafu mzee huko tulishapadhibit mda mrefu sana......Dar naijua, ungeniambia mikoani hapo sawa. Especially Jiji la mwanza
Tanzania,Tanzania,Nakupenda kwa Moyo wangu wote.Nchi yangu Tanzania Ninakupenda Saana.....Tunaandika Historia nyingine tena ya UshindiWaendelee kupiga kelele sisi tunapiga Kazi
View attachment 1484983
iko bomba sana clean yaani hawa nyang'au wacha waendelee na ndoto zao hiyo ni kiboko yaoWaendelee kupiga kelele sisi tunapiga Kazi
View attachment 1484983
Waendelee kupiga kelele sisi tunapiga Kazi
View attachment 1484983