ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nyie ndio muko na hali mbaya kueni wapole kwa sasa😂😂😂😂na nyie dead state, itabidi tukomboane, fufukeni mtuvute, ama tuinuke tuwafufue, wa kwanza kupona na akoe mwenzake
deal?
nyie ndio muko na hali mbaya kueni wapole kwa sasa😂😂😂😂na nyie dead state, itabidi tukomboane, fufukeni mtuvute, ama tuinuke tuwafufue, wa kwanza kupona na akoe mwenzake
deal?



tutabadilisha miguu kisha tusongee mbele, ni puncture tu

nyie ndio muko na hali mbaya kueni wapole kwa sasa![]()
Hamja fufufuka bado, wachana na failed statetutabadilisha miguu kisha tusongee mbele, ni puncture tu
![]()

dah hawa majamaa
ukiishiwa hoja unatulia sio lazima ku expose upuuzi ilimradi uonekane ume commenthujielewi wewe
kwani miaka yote ndege na train havikuwepo? nini kilipungua ambacho kimeongezeka sasa hivi?Kama una wivu sana inabidi upunguze kwa kweli Kwa hiyo wewe ulitaka tanzania isiwe na ndege kabisa wala hata train so hivyo vitu vilivyojengwa hazina msaada wa maendeleo wa kiuchumi
Hujielewi weweukiishiwa hoja unatulia sio lazima ku expose upuuzi ilimradi uonekane ume comment
mpumbavu ni wewe hapo ambae umeshikiliwa na akili za mapambio ili kulisha tumbo lako..nimekwambia uzoefu wa state corporations hasa kwenye sekta kama ya viwanda zitafeli kama ambavyo zilikufa hapo awali,ulivyokuwepo poyoyo hakuna kitu ambacho kinafanywa sasa na hakijawahi fanywa na serikali hapo awali.Wewe ni mpumbavu tatizo unajihisi mjanja
Mifuko ya hifadhi ya Jamii duniani kote inafanya biashara
Katika biggest banks 10 duniani, almost 5 ni banks za serikali
Uelewa wako ni finyu sana tatizo unajitia mjanja
Lazima niumie maana pesa ya walipakodi itapotea kama ilivyopotea kwenye miradi mingi ya dizaini hiyo..sio kazi yangu kuwaleta ni kazi ya serikali kuandaa mazingira rafiki watakuja wenyewenaona unaumia sana serikali kujenga viwanda.. nashauri watafute basi matajiri wenzako mje mtujengee kiwanda cha bidhaa za ngozi
Nikisoma unacho andika iyo akili iko likizo nini...kwaiyo kwa macho yako hakuna kilicho badilika??...jaman embu rafiki wa uyu jama amkumbushe kuwa mpinzani cyo manake uwe mjinga....mpumbavu ni wewe hapo ambae umeshikiliwa na akili za mapambio ili kulisha tumbo lako..nimekwambia uzoefu wa state corporations hasa kwenye sekta kama ya viwanda zitafeli kama ambavyo zilikufa hapo awali,ulivyokuwepo poyoyo hakuna kitu ambacho kinafanywa sasa na hakijawahi fanywa na serikali hapo awali.
Afu sitafuti kuwa mjanja kwako au kwa yeyote nachangia maoni yangu bila kushikiliwa na nyie mnaoishi kwa kazi za propaganda na mapambio..Unadhani hiyo mifuko inafanya biashara za kuchakata bidhaa za ngozi au juice? acha undezi wewe mpiga vuvuzela





acha kuchekacheka bila kutekenywa,biashara ipi ambayo inaanzishwa au kufufuliwa na serikali haikuwahi fanywa enzi za mwalimu? mimi nina orodha ya miradi mingi iliyofeli ambayo imeanzishwa na serikali kwa pesa za wananchi na pesa imepotea,shida umeweka akili tumboni ili upate mkate wako kwa kazi ya propaganda na kuimba sifa na pambioNikisoma unacho andika iyo akili iko likizo nini...kwaiyo kwa macho yako hakuna kilicho badilika??...jaman embu rafiki wa uyu jama amkumbushe kuwa mpinzani cyo manake uwe mjinga....![]()
Diamond na wcb wata tafuta hayo magimbi ,nawaona wanamusiki wa Kenya wakifakamia magimbi ili waimbe chenye kuelewekanga
Nothing really,just used ex Dubai cars,no NEW SUPERCAR dealerships in dar though,if any post it!Yn ww hapo ndio umepost sn cyo...tulia tu usiamshe walio lala ww