Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wach kulia kuna gari kali mpk cyo poa...wengine wanazi dump.....
Screenshot_20200611-184127.jpg
Screenshot_20200611-184904.jpg
Screenshot_20200611-190001.jpg
Screenshot_20200611-185746.jpg
Screenshot_20200611-190111.jpg
Screenshot_20200611-190354.jpg
Screenshot_20200611-190212.jpg
Screenshot_20200611-191548.jpg
Screenshot_20200611-184629.jpg
Screenshot_20200611-191603.jpg
 
Kama una wivu sana inabidi upunguze kwa kweli Kwa hiyo wewe ulitaka tanzania isiwe na ndege kabisa wala hata train so hivyo vitu vilivyojengwa hazina msaada wa maendeleo wa kiuchumi
kwani miaka yote ndege na train havikuwepo? nini kilipungua ambacho kimeongezeka sasa hivi?
 
Wewe ni mpumbavu tatizo unajihisi mjanja

Mifuko ya hifadhi ya Jamii duniani kote inafanya biashara

Katika biggest banks 10 duniani, almost 5 ni banks za serikali

Uelewa wako ni finyu sana tatizo unajitia mjanja
mpumbavu ni wewe hapo ambae umeshikiliwa na akili za mapambio ili kulisha tumbo lako..nimekwambia uzoefu wa state corporations hasa kwenye sekta kama ya viwanda zitafeli kama ambavyo zilikufa hapo awali,ulivyokuwepo poyoyo hakuna kitu ambacho kinafanywa sasa na hakijawahi fanywa na serikali hapo awali.
Afu sitafuti kuwa mjanja kwako au kwa yeyote nachangia maoni yangu bila kushikiliwa na nyie mnaoishi kwa kazi za propaganda na mapambio..Unadhani hiyo mifuko inafanya biashara za kuchakata bidhaa za ngozi au juice? acha undezi wewe mpiga vuvuzela
 
naona unaumia sana serikali kujenga viwanda.. nashauri watafute basi matajiri wenzako mje mtujengee kiwanda cha bidhaa za ngozi
Lazima niumie maana pesa ya walipakodi itapotea kama ilivyopotea kwenye miradi mingi ya dizaini hiyo..sio kazi yangu kuwaleta ni kazi ya serikali kuandaa mazingira rafiki watakuja wenyewe
 
mpumbavu ni wewe hapo ambae umeshikiliwa na akili za mapambio ili kulisha tumbo lako..nimekwambia uzoefu wa state corporations hasa kwenye sekta kama ya viwanda zitafeli kama ambavyo zilikufa hapo awali,ulivyokuwepo poyoyo hakuna kitu ambacho kinafanywa sasa na hakijawahi fanywa na serikali hapo awali.
Afu sitafuti kuwa mjanja kwako au kwa yeyote nachangia maoni yangu bila kushikiliwa na nyie mnaoishi kwa kazi za propaganda na mapambio..Unadhani hiyo mifuko inafanya biashara za kuchakata bidhaa za ngozi au juice? acha undezi wewe mpiga vuvuzela
Nikisoma unacho andika iyo akili iko likizo nini...kwaiyo kwa macho yako hakuna kilicho badilika??...jaman embu rafiki wa uyu jama amkumbushe kuwa mpinzani cyo manake uwe mjinga....
 
Nikisoma unacho andika iyo akili iko likizo nini...kwaiyo kwa macho yako hakuna kilicho badilika??...jaman embu rafiki wa uyu jama amkumbushe kuwa mpinzani cyo manake uwe mjinga....
acha kuchekacheka bila kutekenywa,biashara ipi ambayo inaanzishwa au kufufuliwa na serikali haikuwahi fanywa enzi za mwalimu? mimi nina orodha ya miradi mingi iliyofeli ambayo imeanzishwa na serikali kwa pesa za wananchi na pesa imepotea,shida umeweka akili tumboni ili upate mkate wako kwa kazi ya propaganda na kuimba sifa na pambio
 
Back
Top Bottom