Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ww uko neg sana ...sijui unawaz nn...sasa kikifa ndilo unalo waza...unaonekan n muajiriw kabisa hujui chochote kuhusu biashara...nadhani ww ndio ume base kwenye simulizi....better utafakari kabla y izo blablabla....inaman ww kuskia Tz ni ya pili kwa mifug n haina viwanda vya ngozi haikushangazi ila serikali kujenga kiwanda inakuchanganyakikifa kama vingine ndo utajua alitakiwa ajenge nanai uzuri past experience ipo kama hutaki kujifunza hilo suala jingine,wewe unachojua ni hizi simulizi tuu lakini biashara ina protokali zake
Jana nilikuwa naangalia tv mfanyabiashara dodoma analalamika serikali kuwalazimisha kuhamia soko la jipya la ndugai..alisema watu wa maofisini wanaamini sana kwenye maandishi na kompyuta zao sijui aliwaza nini yule jamaa





