Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1591878084.143242.jpg
IMG_1591878095.927373.jpg
 
Dah safi sana, yn km naiona Tz ya 2025
Yani mzee hio agriculture sector vitu vimepamba moto
1..Tanchoice 15mil usd meat processing chinja ngombe buku kwa siku ... kimeanza kazi..500 ajira direct ..export revenues boosted..plus tunapata leather ambayo inaenda kutumika no 2.

2..Karanga leather factory Moshi..hapo inatoa ajira 7000.. Kinatengeneza viatu pair laki nne kwa mwaka..export revenue zake kwa mwaka €20million..projected.

3..Vingunguti machinjio ya kisasa nayo inaisha mwaka huu uwezo wake wenye ni ngombe buku na mbuzi 4000..ngozi inarudi no 2..ajira na exports pia

4..Huko Ruvuma , Mbeya watu wanapanda maparachichi kwa speed..nasubir tu mpango wakuweka Cargo terminal ..ndege za mzgo zianze

5..Huko Mwanza swala la samaki sitaki kugusia kila mtu anaona

6..swala la uvuvi indian ocean ..kuna mpnago wa kunua ma boat makubwa na kujenga fishing port ..nahis itaanza mwaka huu wa fedha
 
Yani mzee hio agriculture sector vitu vimepamba moto
1..Tanchoice 15mil usd meat processing chinja ngombe buku kwa siku ... kimeanza kazi..500 ajira direct ..export revenues boosted..plus tunapata leather ambayo inaenda kutumika no 2.

2..Karanga leather factory Moshi..hapo inatoa ajira 7000.. Kinatengeneza viatu pair laki nne kwa mwaka..export revenue zake kwa mwaka €20million..projected.

3..Vingunguti machinjio ya kisasa nayo inaisha mwaka huu uwezo wake wenye ni ngombe buku na mbuzi 4000..ngozi inarudi no 2..ajira na exports pia

4..Huko Ruvuma , Mbeya watu wanapanda maparachichi kwa speed..nasubir tu mpango wakuweka Cargo terminal ..ndege za mzgo zianze

5..Huko Mwanza swala la samaki sitaki kugusia kila mtu anaona

6..swala la uvuvi indian ocean ..kuna mpnago wa kunua ma boat makubwa na kujenga fishing port ..nahis itaanza mwaka huu wa fedha
Heheheheheeee umenifurahisha ulipogusia hyo no.2 kuna watu vilaza hawajui akili ya JPM kuanza miradi ya kimkakati, hayo yote wanayoyalalamikia yatakuja kuwa solved na hii miradi ya kimkakati, ila kinachofurahisha cku hz wapinga maendeleo wamekuja na kamsemo kapya ambako kwangu nakaona km kanaashiria ku surrender, eti utawasikia wakisema "uyo Jpm kawapumbaza kwa vitu vidogo vdg tu mnapagawa" ss mwambie akutajie hvyo vitu vdg vdg km atakujibu
 
Back
Top Bottom