Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
LOL unachekesha wewe umeenda kamanga unasema BusisiMzee unamdanganya nani kwamba kuvuka kigongo -busisi kwa pantoni ni saa moja? nimetumia sana hiyo pantoni ni wastani wa 30-40 minutes tu pale,afu wananchi wengi wa mwanza wanatumia pantoni ya kamanga kwa hiyo hiyo project sio worth ki hiivyo bora hizo pesa zingefungua miundombinu mingine ya mwanza yenye tija kwa watu
Pili sio afya miaka 5 imepita barabara za western ziko vilevile yaani kiufupi zitakamilika awamu ya pili.Tuweni serious barabara zina impacts kubwa kwa wananchi na uchumi kuliko miundombinu yoyote
Kumbuka bln 700 zingetosha kuunganisha Morogoro na Ruvuma kwa lami,Chunya-Tabora/Singida kwa lami nk nk sasa kuzizika kwenye daraja la show off sio sawa
Nenda high peak hours kama hujakaa masaa matatu mpaka manne na idadi ya watu na magari inazidi kuongezeka kwa kasi
Hapa na penyewe umeonesha namna akili yako ilivyo finyu sababu unawaza kwa urefu wa pua yako tu.
Hilo daraja litahudumia ongezeko lolote la watu na magari linalokua kwa kasi ukanda huo kitu ambacho vivuko havitakaa vimudu

