Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee unamdanganya nani kwamba kuvuka kigongo -busisi kwa pantoni ni saa moja? nimetumia sana hiyo pantoni ni wastani wa 30-40 minutes tu pale,afu wananchi wengi wa mwanza wanatumia pantoni ya kamanga kwa hiyo hiyo project sio worth ki hiivyo bora hizo pesa zingefungua miundombinu mingine ya mwanza yenye tija kwa watu
Pili sio afya miaka 5 imepita barabara za western ziko vilevile yaani kiufupi zitakamilika awamu ya pili.Tuweni serious barabara zina impacts kubwa kwa wananchi na uchumi kuliko miundombinu yoyote
Kumbuka bln 700 zingetosha kuunganisha Morogoro na Ruvuma kwa lami,Chunya-Tabora/Singida kwa lami nk nk sasa kuzizika kwenye daraja la show off sio sawa
LOL unachekesha wewe umeenda kamanga unasema Busisi

Nenda high peak hours kama hujakaa masaa matatu mpaka manne na idadi ya watu na magari inazidi kuongezeka kwa kasi

Hapa na penyewe umeonesha namna akili yako ilivyo finyu sababu unawaza kwa urefu wa pua yako tu.

Hilo daraja litahudumia ongezeko lolote la watu na magari linalokua kwa kasi ukanda huo kitu ambacho vivuko havitakaa vimudu
 
A referral hospital in Kakamega just about to be completed.
IMG_20200611_122539.jpg
IMG_20200611_122543.jpg
IMG_20200611_122559.jpg
 
Kama una wivu sana inabidi upunguze kwa kweli
uwekezaji wa serikali unachekesha,ukisoma majumuisho ya hotuba ya wizara ya ujenzi kwa miaka 5 iliyopita imeongeza paved roads za trunk roads roughly 500km zimekamilika,nyingi ziko hatua mbali mbali za ujenzi but how comes pesa yote inaishia kwenye miradi isiyokuwa na impaccts kubwa kwenye uchumi kama ndege na reli na madaraja ya kukatisha ziwani na baharini wakati mikoa ambayo Jk aliiacha bado haijaunganishwa na lami? Serikali ingewekeza pesa za kutosha kwenye barabara ucchumi na maisha ya watu vingeimarika sana lakini kuongezea train speed kwa pesa ndefu sio dili kabisa
Kwa hiyo wewe ulitaka tanzania isiwe na ndege kabisa wala hata train so hivyo vitu vilivyojengwa hazina msaada wa maendeleo wa kiuchumi
 
Kutumia pantoni tu sio economically efficient ..angejenga barabara mngesema hamna daraja....project zote zina umuhimu wake huwezi kujenga barabara tu ukaacha madaraja..we unaona ni grandiose project

Ni sawa na ATC mlisema ka nchi kama rwanda kana ndege sisi Tz hatuna zimeanza kununuliwa una mind
Kama rais hana roho ngumu hawezi kuongoza nchi maana wajuaji ni wengi hata kwenye mambo yenye tija na yasiyokuwa na tija. Cha msingi rais awe na focus ya kuleta maendeleo lakini akianza kumsikiliza huyu anasema nini na huyu anasema nini atayumba sana.
 
It is ironic that you b
It is ironic that you brag of used ex Dubai Porsche when NAIROBI host SUPERCAR DEALERSHIPS
A37D5F07-0297-4618-B309-55DD90C1FCA0.png
A37D5F07-0297-4618-B309-55DD90C1FCA0.png
17F59E32-2164-4881-AEA5-5F676D446AC9.png
36A65D65-34EA-40F5-823B-D545773B8861.png
6EE36346-B1C0-4244-86C3-4C006D4FF66F.png
A2B36561-D2DD-4023-B597-300147E75805.jpeg
2D32ADE0-7DD2-4401-B63E-9B7F6F764D30.jpeg
4E8D1FC8-E44D-46C6-A53F-21B1A887B6BE.png
93CF5E85-EFD2-4FDB-8AD2-974196D61CEA.jpeg
2D7BD02B-4EB6-4873-ABD0-765C61D7D487.png
DF888A24-33E8-431C-A936-9FB67F3FB74E.jpeg
57E39129-955C-434D-909B-324AC7EE247E.jpeg
C7494DD6-072E-4A99-8486-1995F710900A.jpeg
F5C65A0E-D225-45ED-8C78-B0073F341AA0.jpeg
2AE2E30E-E939-486C-83A1-F1E066E04DCD.jpeg
162821F2-7320-4351-BC42-DC6989B4C442.jpeg
89629B8F-3CD5-42E4-90DD-5A93FC2B3690.jpeg
B4A7AF6B-4228-4474-B225-9DCC21781724.png
 
Mzee unamdanganya nani kwamba kuvuka kigongo -busisi kwa pantoni ni saa moja? nimetumia sana hiyo pantoni ni wastani wa 30-40 minutes tu pale,afu wananchi wengi wa mwanza wanatumia pantoni ya kamanga kwa hiyo hiyo project sio worth ki hiivyo bora hizo pesa zingefungua miundombinu mingine ya mwanza yenye tija kwa watu
Pili sio afya miaka 5 imepita barabara za western ziko vilevile yaani kiufupi zitakamilika awamu ya pili.Tuweni serious barabara zina impacts kubwa kwa wananchi na uchumi kuliko miundombinu yoyote
Kumbuka bln 700 zingetosha kuunganisha Morogoro na Ruvuma kwa lami,Chunya-Tabora/Singida kwa lami nk nk sasa kuzizika kwenye daraja la show off sio sawa
hujielewi wewe
 
Back
Top Bottom