ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
overpassHapa wanataka kujenga daraja ama?
overpassHapa wanataka kujenga daraja ama?
Namaanisha hapo bondeni? Sio kule mbele!overpass
yah darajaNamaanisha hapo bondeni? Sio kule mbele!
Wapi hii kaka?construction going on
View attachment 1461752
Hamutulishi kabisaa, wacha kujitekenya mzee, hamna uwezo wa kulisha nchi nyingine nyie, eti muwape bure bure, mko ovyo mnaeza kufa na umasikini, Sisi wajanja tunanunua pale marikiti kutoka kwa Lorry za Uganda na Tz tuna repackage and sell behind our car boots huu wakati wa covid19, mtaani watu wengi wamekua mama mboga na kufaidika zaidi ya hao wakulima wenyu.
Soko kando ya barabara. Mkenya ni mjanja na wakujituma, nyie mpo mpo tu.
View attachment 1461618
I have a feeling that even Corona virus would refuse to stay in such unsecured and dangerous area like this one.Tafuta mahali popote kupo hv Tz zen niletee mm nifunge accnt Jf saizView attachment 1461423View attachment 1461424
Mimi ardhi nimeanza kumiliki niko chuo mwaka wa pili nina kiwanja kimoja namaliza chuo mwaka mmoja baadae namiliki kiwanja cha pili kama ningekuwa mkenya kwakweli hii ingebaki ndotoTz majority wana miliki ardhi wacha ubishi.
Ndio shida yetu watanzania,mtu akionyesha uzalendo basi tayari anaveshwa uanachama wa chama cha siasa!
Pia kuna lile dude la pangani msilisahau sn japo co cable bridge.huku kuna selander bridge, kule kuna kigongo- busisi bridge




Lazma waje kudai lipo Kunyaland hili!Hehehehehe, wakenya mcje kusema hatukuwaambia, V hyo hapo inaonekana mcje sema oohh WaTz hamkutupa taarifa kwahyo hii hatuihesabuView attachment 1461869
Hii structure ya namna hii haitakaa ipatikane Kunyaland!Hehehehehe, wakenya mcje kusema hatukuwaambia, V hyo hapo inaonekana mcje sema oohh WaTz hamkutupa taarifa kwahyo hii hatuihesabuView attachment 1461869
Si unaona cku hz wanavyopoteza hamu na Jf co amri yao, maji yamezidi ungaHii structure ya namna hii haitakaa ipatikane Kunyaland!

