Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanataka ICD iwe operational kwa kuwalazimisha wafanyabiashara kutumia usafir wa SGR, kitu ambacho ni hatari sana kuwaforce
Kuna kitu watu wengi huwa hawakifikirii, mizigo huwa ipo ya serikali na ya wafanyabiashara, mfanyabiashara huwa anaamua mwenyewe afanye nini na mzigo wake, serikali ya kenya na uganda zikikubzliana kutumia sgr hili suala halimhusu mfanyabiashara
 
Fumba znz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
DKnwtJ2XcAAIc6W.jpg
 
alaf hawa ndio waende wapambane kwenye vita nje ya mipaka yao 😂😂😂😂 ushuzi wa nguruwe ohh nye nye nye



 
Back
Top Bottom