Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,283
- 7,062
HAhahahaha wivu unamwagika hani hata hujui uanze na wapi kuzoa, hivyo vitu vyote umetaja, Kenya iko navyo kuwashinda sasa sijui unaenda wapi na hio storyFanya projects ambazo kwnz zita diversify maendeleo, jenga masoko mengi, jenga shule nyingi weka facilities kwenye hizo shule, jenga hospitals, jenga reli za kueleweka, jenga viwanda vya kutosha, jenga barabara sehemu ambazo ni remote, weka miundombinu ya maji vzr, the same as Magu does na ndiyo maana tunamuimba humu daily kwasabu anafanya mambo ambayo yatainua uchumi wa wananchi faster, co kujenga ma appartment cjui manini, yana return rate ndogo sn. Poleni Wakenya.

