Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,745
Si unaona cku hz wanavyopoteza hamu na Jf co amri yao, maji yamezidi unga![]()
Halafu nimetonywa SGR phase III Mwanza-Isaka ipo mbioni kuwa launched in June!
Si unaona cku hz wanavyopoteza hamu na Jf co amri yao, maji yamezidi unga![]()
Hahahahahah watafeli mana cku Tz ni well known worldwide pia tunajitangaza sn so hawana pa kushika, mali zetu zote tunazilinda now a daysLazma waje kudai lipo Kunyaland hili!


Watabaki wanajiuliza yule Alien wa Chato anawezaje ku monitor miradi yote kwa mpigo, tena ya gharama hv na bado jibu watakosa, ss humu ukifika ule muda wa kuanza kuzindua ndiyo hutawaona humu, mana wao watakuwa wanazindua nyumba cc tunazindua treni za umeme, the world is not fairHalafu nimetonywa SGR phase III Mwanza-Isaka ipo mbioni kuwa launched in June!



😂😂😂😂 naivasha ICD another white elephantinasemekana traffic jam imefika 80km
Naivasha ICD, waliinadi sn juzi tu hapa na inakwenda kuwa white elephant


mganda kachomoa 😂😂😂😂Naivasha ICD, waliinadi sn juzi tu hapa na inakwenda kuwa white elephant![]()
Ila jamaa wanaweza kuona kama tunawafanyia fitna fulani hv kwny miradi yaomganda kachomoa![]()


SGR phase one 300km 1.2busd financed by gvt of tanzaniafanya kutuma picha moja ya kila mradi U/C (even render) na gharama yake, kama ulivyotuma hapa.. including BRT, SGR, Nyerere HHP etc
unajua hawa hukimbilia projects tena kwa mikopo yenye riba kubwa kushindana na tanzania na hawaangalii mbali 😂😂😂Ila jamaa wanaweza kuona kama tunawafanyia fitna fulani hv kwny miradi yao![]()
wamekataa waganda 😂😂😂wanataka ICD iwe operational kwa kuwalazimisha wafanyabiashara kutumia usafir wa SGR, kitu ambacho ni hatari sana kuwaforce
ni nyingi sana bro yani kuzimaliza hapa ni mtihani 😀😀U/C zote nchini.. lengo niscreenshot zote at once
U/C zote nchini.. lengo niscreenshot zote at once
mwambie hata kiongozi wa chama chake akiwa rais sisi tutampenda tu, akijenga madaraja nae tutamsifia, actually tunasifia viongozi wanayoiongoza nchi vizur
[/QUOTE
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏👏
Magu effectsKidogo kidogo tunaanza kuvikubali vya kwetu