Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanasubiri daraja likamilike nilimsikia kamanda akisema
Najua site ilishakuwa cleared, vendors wakahamishwa na fence ikawekwa, Magu alivyotoa comment yake sikujua kilichokua kinaendelea japo pia aligusia developer anatakiwa kukaa na constructor wa daraja la Tanzanite ili kuweka ramani sawa.
 
alaf alivo fala angalia even the wall of two pictures are totaly different 😂😂👇👇
View attachment 1448790View attachment 1448791
Acha kusumbuka kijana. There is a perimeter wall all round the four units and a mini wall that separates one housing unit from the other. This mini wall ni ya chuma as you can see in that picture above. Use common sense
PhotoGrid_1590413010659.jpg
PhotoGrid_1590412963316.jpg
 
ni ghost hivi., haujatafuta mr.google?, uliza wasafirishaji mizigo wa Tz wanao pita pita hizo sehemu, naona Lorry mingi za Tz, watakueleza how they are diverted na progress.., wenye magari wengi wana divert na kuingilia Limuru, then wanajoin njia ya two rivers mall na kutokea upande wa parklands when approaching cbd to avoid the construction ni zaidi ya mwaka sasa., pale westlands ndio bado hawajabomoa...

Sent using Jamii Forums mobile app
siku utapata construction board ww nitag mm nafunga acc jamii forum its very simple😂😂😂😂😂
 
Hey guys, been away kidogo na nimeona majirani wakiniquote left right and center. Anyway, leteni hizo feelings sasa I deal with them 😂 😂
ilibidi ufunge safari ukachukue tena picha kwenye ile jengo ulipiga picha 😂😂😂😂😂 natumai safari hii umechukua picha nyingi sana
 
Back
Top Bottom