Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao acacial ndiyo wezi Wa madini ya tz walikuwa wanaiba tz wanajenga Kenya?kweli magu kakomesha Kenya wezi wa tanzanite walikuwa wamejificha Kenya

Send by APOLO 1
What does this got to do with what I posted?
 
new magomeni modern market🇹🇿🇹🇿
4156FEB6-8CD9-4D51-BC75-F686E899FBF8.jpeg
96468EB3-B678-4DD4-863C-E4DCF6A9148A.jpeg
 
Leo sijaokota? 😂 😂 😂 😂
Kumbe picha nilizipiga mimi mwenyewe!?
[/QUOTE]
naomba upost picha zote ulizonazo plz 😂😂😂😂😂😂
 
Hivi kuna umuhimu wa misanamu ya zege badala ya kupafanya pawe green zaidi? Ningekuwa nasimamia mradi huu fedha za kulipa sanamu za zege ningewekeza kwenye sprinkler system ya kumwagilia majani na kuweka sehemu za kukaa na fountains!
Mkuu that's our culture, kuna vitu huwezi epuka, ni muhimu kuwe na kielelezo japo hizo system za kumwagilia ni muhimu kuwepo, na cdhani km zitakosekana sehemu classic km hyo.
 
Mkuu that's our culture, kuna vitu huwezi epuka, ni muhimu kuwe na kielelezo japo hizo system za kumwagilia ni muhimu kuwepo, na cdhani km zitakosekana sehemu classic km hyo.
bora kuweka tausi aisee kuliko mi-concrete ambayo hata haijafinyangwa kiutaalam. Mi sijui kama tunajua the concept behind recreational park!

Gaerten_der_Welt.jpg


leisure-park-and-recreational-park-luebars-village-reinicken-berlin-JKNJAY.jpg


612664395a40232133447d33247d383238363938313237


_DSC1787.jpg


5b23864cda3bf.jpg
 

Pamekua pazuri sana hapa, Kuna LED screens kubwa hapo pamoja na billboards kadhaa usiku pananoga sana na BRT zinavyopishana hapo kuelekea Morocco zingine Ubungo na Kimara Zingine Posta Gerezani. Ukitegesha Go Pro Hapo kwa timelapse na light trails utadhani sio Bongo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom