Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
nilimwambia niko tayar nimtumie ticket ya ndege na nitampa sehemu ahifadhike 😂😂Naskia ni muathirika wa demolition za Kariobangi! Hana malazi unaweza kumsitiri kwa muda as long as anapimwa coronavirus kwanza?
Nicxie usione aibu jitokeze uifadhiwe! Mficha uchi hazai...nilimwambia niko tayar nimtumie ticket ya ndege na nitampa sehemu ahifadhike 😂😂
Pia inahitaji nguvu na muda kumwelewa huyu jamaa [emoji3][emoji3]huyo kuna baadhi ya comment zake hua sijibu maana akili yake ni ndogo sana[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Naskia ni muathirika wa demolition za Kariobangi! Hana malazi unaweza kumsitiri kwa muda as long as anapimwa coronavirus kwanza?
Heheheheheeee ichoboy bhn huwa nacheka sn [emoji3][emoji3][emoji3]Nicxie jamani karudi watajua hawajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1459375
Tayari ushajichanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu lete low income wa Tz, tulinganishe na kenya km una ubavu huo[emoji3][emoji3]
Unaongelea mjini ipi? Apo apo nairobi kuna uharo usioelezeka, kwa huku Dar huwezi kuta uswazi mjiniTayari ushajichanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Slum si makaazi ya watu, hyo ni ardhi ya serikali[emoji1787][emoji1787]
Lkn tukija katika makaazi ya watu huwezi kuta mtu hku mjini anamiliki uswazi
Sent using Jamii Forums mobile app
check video kuanzia @17:00 recreational park inaanza kuoneshwaTupia picha mkuu
Leo sijaokota? 😂 😂 😂 😂ilibidi ufunge safari ukachukue tena picha kwenye ile jengo ulipiga picha 😂😂😂😂😂 natumai safari hii umechukua picha nyingi sana
Kwa bahati mbaya wengine wetu hatushindi humu jf Kama nyinyiUsianze kumvunja moyo subiri aje kutoa maelezo alikuwa wapi[emoji1][emoji1][emoji1]
😂 😂 kijana wa tandale, niko huku leo, kesho, next week, next month, next year next next next 😂 😂kaenda kupiga picha nyingi sana so msishangae atapost sana picha ilimbidi afunge safari kabisa 😂😂😂😂
Methuselah, leo mimi si dereva wa shule tena? 😂Naskia ni muathirika wa demolition za Kariobangi! Hana malazi unaweza kumsitiri kwa muda as long as anapimwa coronavirus kwanza?
Nakupa headache sana ichoboy! Hehe