Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

From the pictures, this is one of them “gated communities” sasa did you build that house/ are you paying a mortgage? Halafu btw your houses are ugly af. What’s with the colours? Is that a children’s day care center or something?
kaokota picha ili aje apunguze machungu maana yake bila hvo iko namna ya kukosa usingizi wiki mzima😂😂😂
 
Yn leo ndiyo umetoa boko la mwaka, unaaminisha watu kwmb asset ni yako kisa umekaa karibu nayo btw leo ndiyo nimeamini here is you na hapo upo kwenye mjengo wako mwngne View attachment 1448615
alaf alivo fala angalia even the wall of two pictures are totaly different 😂😂👇👇
2DE966C6-2E9B-4110-8797-BC6266F349F9.jpeg
00C94E24-7797-457A-ADB3-EC6D1CC14555.jpeg
 
so usipende sana kuona kila mtu rika yako alaf usifkiri watu wamekaa kimya au tunavobishana humu kwamba tuko mizani moja mm sina akili ya kukaa kwenye appartments nisiwe na akili ya kutojenga nyumba ya dream yangu nilikwambia huku watu hujenga nyumba zao na kumiliki ardhi zao
Hahaaa!!mbona unababaika jomba, tulia bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom