The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
The home of billionaires and millionaires in East and Central Africa 








Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayonuka madeni,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayokumbwa na kipindupindu mara kwa mara,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi ambayo wananchi wake wanapika mawe kutokana na kukosa chakula,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi inayopewa misaada ya chakula karne hii,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi yenye ukabila,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi iliyojaa ufisadi na rushwa,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi yenye slums kila kona hadi karibu na ikulu,
Hatuwezi kuwa level moja na nchi ambayo tatizo la maji limekuwa sugu kwenye mji wake mkuu,
Level yenu ni failed state huko.
watamuelewa tu😂😂👇👇
Hahahaha, ninyi c ni mabingwa wa makaratasi? Mtujibu kwa makaratasi ss


To be honest ukifanya kwenye jambo kama hili bongo segedansi utafika na nidhamu utapata. Hawa jamaa wanajiona superiors kuliko waafrika halafu mnawachekea
Huo mjengo umeuona? Kenya bhn hawaishi vituko
Sent from my iPhone using JamiiForums


Huo mjengo umeuona? Kenya bhn hawaishi vituko![]()
Typical middle income state’s staff
‘Instead of Coronavirus, the Hunger Will Kill Us.’ A Global Food Crisis Looms.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Coco beach watu wanakula bats
Kwa kikapu. You don't have money for building recreational centers.Hivi hii coco ujenzi wa ufukwe uliishia wapi?