tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Km utatumia Google ambapo hawaja update taarifa, ila kiuhalisia hamuwezi kufanana na Tz kwenye sekta ya maji hata kidogo, yn Tz hakuna shida ya maji kabisa, hata vijijini huko, ngj report mpya ije mtajificha.Maji yapo nairobi..kulkua na hitilafu kidogo kutokana na landslides kuharibu mifereji ya maji ila sasa yasharekebishwa.. ..geza ufahamu kenya imeishinda Tanzania kwa access to piped water
Sent using Jamii Forums mobile app
Af wamshauri rais wao apunguze chang'aa, midomo ishaanza kuchange rangi.
Na hyo ni miaka 5 tu ya huyu mzee, ss wasubiri picha kamilifrom zero to second


Ss nyie mna ardhi ya kulima avocado nyie, hilo zao linahitaji maji mengi je nyie mna maji? hyo namba 2 tumekaa hapo baada ya Magu kukataza kupeleka kenya so now tunauza wenyewe subiri muone miaka 2 ijayo km mtaingia japo top 10After Kenya na huwa mnaishi kutuimbia hapa avocado tunazoexport zimetoka Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, kizazi cha sasa kitafaidi kuona kwa macho land reclamation ikoje (bandari na daraja), sisi tulikuwa tanasimuliwa tuu na waalimu wetu ambao hata wao walikuwa hawajawahi kuona.
Yaani tukishanunua ndege yetu ya mizigo, ndiyo tutaona kuwa uchumi wa Kenya ni chui wa karatasi.Ss nyie mna ardhi ya kulima avocado nyie, hilo zao linahitaji maji mengi je nyie mna maji? hyo namba 2 tumekaa hapo baada ya Magu kukataza kupeleka kenya so now tunauza wenyewe subiri muone miaka 2 ijayo km mtaingia japo top 10
Shukrani sana kwa ardhi ya wachapakazi kutoka Njombe na Mbeya tusiotaka blaa blaa ila kazi
Sababu ya kukihamisha?Hiki kituo ndio kinahamisha kile cha mwanzo pale CRDB HQ. Maana kilikua mlangoni mwa New CRDB Tower.
Hizi mambo ziki matirialize Nairobi mtatisha sana
Sababu ya kukihamisha?
yah kitakua kizazi sana👏👏👏Hiki kituo ndio kinahamisha kile cha mwanzo pale CRDB HQ. Maana kilikua mlangoni mwa New CRDB Tower.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah,renamed as lake kamau
Madereva kutoka Kenya 19 Wana corona waende wakafie kwao
Serikali ya Tanzania yawazuia Wakenya na magari yao kuingia nchini sababu ya Corona – Bongo LeoView attachment 1453474