Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbn nilieleza mkuu:

Geza - kitengo cha SGR na mambo yote yanayohusu miundombinu

Joto la Jiwe - anapambana na propagandist wote wakikunya

Ichoboy - mambo yote yanayohusu CBD hapo atoki mtu

Simon - takwimu za kiserikali uchomoki hapo

Baba yao - sindano ndogo ndogo jamaa hakuachi

Lwiva - shombo zote anadili nazo yeye

Ndinda - picha zote kali za Dar anazo yeye

The best 007 - midfield kisheti a.k.a kiraka

Bantugbro - anakaba kote kote

Tuusan - diplomasia

Ngokongosha - updates

Mgagaa na upwa - wakumaliza

Walker255 - English yn wakenya wote wanaojifanya wanajua ngeli hapo wamedunda

Narton jr - slums

Nimecheka kinoma


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kilikua mlangoni Boss , Nadhani. Wamesogeza mbele kidogo mita kadhaa.
Sasa nimeelewa, mwanzoni nilifikiri wanahamisha kituo cha palm beach upande mkabala na Jengo (ndiyo maana sikuelewa kwa nini wafanye hivyo).
 
Back
Top Bottom