Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.

Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni [emoji1787]

NB: Wanaume tunawindwa sana aisee [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]View attachment 2801358
Na bei zitapanda.

Bao 150k
 
Haiwezekani watu wawe wanayarusha huko mitandaoni wakiwaringishia acha nao wakajitengeneze,

Mwanamke anaejitambua kuna fasheni lazima ukubali zikupite tu sio kila kitu umo, matokeo ni kuchoka kabla ya umri, na miili yetu ipo km matunda tu, matunda yana tabia ya kuchanua kukomaa kuiva na kuoza kwa haraka,
 
Inawezekana kweli pesa ni kikwazo rafiki ila kuna wenye pesa hawana huu upuuzi. Tujitahidi kuridhika na tulivyoumbwa. Mtu anaejitambua hawezi risk afya yake ati kisa kumridhisha mwanadamu mwenzake. Haipo hiyo, ni kukosa kujiamini kulikovuka mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhmh ukiwa na hela nyingi huwa inakosa matumizi, i believe waliofanya hiyo surgery wanajiweza, angalia wasanii wakubwa matajiri umeshaona wanavaaga mavitu gani?!!? wengi hawapendezi maana wanavaa hovyo tu ila ulizia alichokivaa ni bei gani utafunga mdomo, so hela ikikosa matumizi watu hujiingiza kwenye mambo mengi sana mengine ya kishenzi, ila matako makubwa yapo kwenye soko sana karne hii ndiyo maana wachache wanayaboresha hapo mtulaumu sisi wanaume maana mkitembea hivi huwa mnatingisha network kichwani [emoji6]
 
Inawezekana kweli pesa ni kikwazo rafiki ila kuna wenye pesa hawana huu upuuzi. Tujitahidi kuridhika na tulivyoumbwa. Mtu anaejitambua hawezi risk afya yake ati kisa kumridhisha mwanadamu mwenzake. Haipo hiyo, ni kukosa kujiamini kulikovuka mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupenda vivyo ulivyo, ukijichonga sio wewe niliyevutiwa
 
Kuna like tako sijui ni yule dada anaitwa Nicole jamani nooo kwa kweli...na yule sijuii Ni Malaikaa...hapana aisee mapaja tumikono khaaaa...vimiguuuu nooo aiseee
Huyo lazima arudi gereji, fundi alichoka akawa anakandika tu
 
Mhmh ukiwa na hela nyingi huwa inakosa matumizi, i believe waliofanya hiyo surgery wanajiweza, angalia wasanii wakubwa matajiri umeshaona wanavaaga mavitu gani?!!? wengi hawapendezi maana wanavaa hovyo tu ila ulizia alichokivaa ni bei gani utafunga mdomo, so hela ikikosa matumizi watu hujiingiza kwenye mambo mengi sana mengine ya kishenzi, ila matako makubwa yapo kwenye soko sana karne hii ndiyo maana wachache wanayaboresha hapo mtulaumu sisi wanaume maana mkitembea hivi huwa mnatingisha network kichwani [emoji6]
🤣Aiseer
Haya siku njema
 
Back
Top Bottom