Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 502
- 1,026
Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo,
Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun
=====
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya safari yake kutoka wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara, kuelekea jijini Dar es Salaam.
Waliofariki ni waliokuwa abiria wa basi hilo ni 12 na 2 ni watembea kwa miguu ambao waligongwa na basi hilo.
Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun
=====
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya safari yake kutoka wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara, kuelekea jijini Dar es Salaam.
Waliofariki ni waliokuwa abiria wa basi hilo ni 12 na 2 ni watembea kwa miguu ambao waligongwa na basi hilo.