Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Suala la udini kwenye hizo ajira za waarabu si la kujiuliza. Sasa uje Kwa wafanyakazi sasa huko utacheka Kwa unafiki, kila mfanyakazi anajifanya kashika dini haswa kumbe fix tu.
 
Kampuni yake Kila kitu chake umpangie, vyenu vya Umma (SU) mmevibinafsisha vyote, wafanyakazi tukabaki kama vifaranga vya kuku vilivyofiwa na mama yao na kudhulumiwa juu, majengo yamebaki magofu, watu wanajitolea kuficha aibu ya nchi mnaanza midomo, mbona Mengi kajaza wachaga hamsemi, akiwa upande wa pili midomo juu, mkuu pambana na hali yako
tambua wanunuzi wengi ni wakristo wakistukia atalala doro ohoooo
 
Sie watu tuna matatizo c kidogo na ni Malofa hasa!
Mambo yakishakuwa tyt huwa mtu unatafuta excuse ili usionekane ni mzembe wa kufikiria watu wanaleta udini huku wakiwa na hoja zisizo na msingi haileti maana kabisa hakuna evidence yoyote ya kumshtumu mtu watu wanaendeshwa na hisia za imani zao. Ukishaanza kuleta uislam na ukristo ni dhahiri una matatizo ya akili na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo zaidi ya kidonge cha piriton
 
Hudhani!!! Huna hakika!! Unajua CEO wa Azam TV ni nani?
Unawajua wataalamu wa vipindi ni kina nani?
Fuatilia waratibu wa Sinema Zetu utapata jibu.
Mnapopalilia udini kumbukeni udini wenu na ukabila.
Swali: ITV, SIBUKA, TBC NA STARTV kukoje tuhabarishe pia takwimu zako.
Vigezo ni muhimu
Wakristo azam media Ni wachache mno
 
Fika mkombozi bank, kama una jina la kiislamu hupati job hapo
 
mi nachowafaham rafiki zangu wakiristo ni watu wa kutake it easy.. binafsi nachukia sana watu walalamishi. nawachukia sana. na dini inayofundisha watu wake kuwa walalamishi naidharau sana. wakristo hawapo hivyo sijui huyu jamaa imekuaje haya mambo .... mwache bhakressa aajiri anaowataka na nyie kama hamtaki msinunue bidhaa zake.

Wameanza tangu Raisi wa awamu ya pili alipo ingia madarakani kwani hukuwepo? Au hujawahi kuwasikia, pia pale NSSF unafikiri ni akina nani walikuwa wanalalamika?
 
Kwa hiyo hakuna wanaotumia bidhaa za mkristo mwenzao na wakasema wanatumia vya mkristo mwenzao??
Heshimu imani ya kila mtu haijalishi wewe upo imani gani muislam amuheshimu mkristo na mkristo halikadhalika msilete husia za kidini katika masuala ya kiubinadamu
mkuu sasa kama yapo unashindwaje kusema? watakuja kupata madhara baadaye tz ni nchi yenye wakristo wengi sana kama hawajui
 
Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.

Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza

Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Uaminifu ndio kitu muhimu, we umeingia na gia za uongo ,je ukikabidhiwa kitita, kigezo cha uislam ni uaminifu kuna wanaoogopa dhambi.
 
Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.

Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza

Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.

Hata mikataba ya serikal inauliza dini na kabila vipi na wao!!?
 
Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Unaweza kuthibitisha hili???? wakristo wapo pale kibao achaeni hizo mtawaponza wenzenu
 
mkuu sasa kama yapo unashindwaje kusema? watakuja kupata madhara baadaye tz ni nchi yenye wakristo wengi sana kama hawajui
Nkuu issue siyo kusema kama wapo au la. Muhimu hapa ni kutoweka maslahi ya kidini mbele kwa sababu za kibiashara huoni kama inaweza kumpunguzia soko mfanyabiashara ikiwa utang'ang'ania kumnasibisha na udini? Haijalishi awe muislam au mkristo.
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Muongo sana huyu , kuna wafanyakazi akina john kibao, mitaani wauza ice cream kibao akina clement , na mimi kuna mzee wangu mzee joseph mwanae ni mwanasheria pale
 
Nkuu issue siyo kusema kama wapo au la. Muhimu hapa ni kutoweka maslahi ya kidini mbele kwa sababu za kibiashara huoni kama inaweza kumpunguzia soko mfanyabiashara ikiwa utang'ang'ania kumnasibisha na udini? Haijalishi awe muislam au mkristo.

Sio kweli , Muongo kwani bakhresa yuko Tanzania peke yake? naishi Uganda, huku waislam wachache , inamaana ame import watanzania waislam? congo na Rwanda je? what abaout Malawi , nako kaajiri waislam? au anawapenda waislam wa Tanzania tu, acheni hasad
 
Jamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.
Sema kungekuwa na asilimia wakristo 30 waislamu 70
Na mchaga akiajili kwenye kampuni yake kuwe na sheria ya asilimia kidini na kikabila
Kampuni ni yake aifai kumwingilia MTU na maliyake Ila kama utaki wafanyakazi wa dini fulani ni vizuri kutangaza waziwazi kua tuna ajiri waislamu tu au wakristo tu kuliko kusumbua watu kuomba kazi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom