Ni kweli Ila Sijajua sheria zetu za nchi hili jambo wanalichukuliaje kama liko sawa basi tusilalamike kama si sawa basi kufanyike mabadiliko.Mhindi naye akijenga Mall wapangaji wote Wahindi wenziye tena wa dini yake. Mimi naona ni mambo ya kibinafsi tu na ni hiyari ya mtu kutumia mali yake atakavyo. Hakuna sheria imevunjwa hapo!
Ni kweli Ila Sijajua sheria zetu za nchi hili jambo wanalichukuliaje kama liko sawa basi tusilalamike kama si sawa basi kufanyike mabadiliko.
We utakuwa mtu wa masoko huko Azam! Nimekuona unavyopambana kuifagilia kule kwenye post yako ya Hotel (operated under islamic principles) ulivyokuwa ukisisitiza kuipenda hiyo hotel na kuupenda uislam. Nikajua tu huyu ni mmoja wao! Nikacheki jina unalotumia lilivyo refu na lenye uhalisia nikagundua kitu!mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Inawezekana una point lakini sina hakika kama mtu anaweza akakuambia wazi kuwa kilichokukosesha hii nafasi ni udini, udini ni uovu na hivyo hufanyika sirini. Ila kwanini wanalalamikiwa kila siku hawa jamaa, pengine kuna jamb.Mkuu ungekuwa na case study inayokuhusu wewe mwenyewe ingependeza zaidi kuliko kufanya generalization , kama ulifanya application kwenye moja ya kampuni zake na ukaambiwa we tumekuacha kwa ajili ya dini yako na mwenzio akachukuliwa kwa ajili ya dini uke ingependezza zaidi!
Karibu asilimia 96 ya wafanyakazi wa serikali ni wakristo,je tusemeje hapo ?Karibu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Inawezekana hujawaza kwa mapana ndugu yangu, huwezi ukapalilia utengano halafu ukajitetea hujavunja sheria yoyote so its ok, kwa kifupi tu pia labour law halafu uitafakari comment yako..ila katika nadharia tu ya kawaida mtu akakutenga, nawewe ukamtenga na yule akajua anatengwa unafikiri mwisho wa siku nini kitatokea kama sikupotea kwa msamiati utaifa.Mhindi naye akijenga Mall wapangaji wote Wahindi wenziye tena wa dini yake. Mimi naona ni mambo ya kibinafsi tu na ni hiyari ya mtu kutumia mali yake atakavyo. Hakuna sheria imevunjwa hapo!
Inawezekana hujawaza kwa mapana ndugu yangu, huwezi ukapalilia utengano halafu ukajitetea hujavunja sheria yoyote so its ok, kwa kifupi tu pia labour law halafu uitafakari comment yako..ila katika nadharia tu ya kawaida mtu akakutenga, nawewe ukamtenga na yule akajua anatengwa unafikiri mwisho wa siku nini kitatokea kama sikupotea kwa msamiati utaifa.
Wakati mwingine muwe mnakaa kimya kama mnaona kabisa mawazo yenu si ya kujenga, kwanini mkubali kuwa mbolea ya kukuza utengano? kwanini ukubali kuwa mfia dini, kwanini ukubali kuwa mfia chama na kwanini ukubali kutoambilika juu ya mtu fulani? kuna ubaya gani au ugumu gani ukachagua kuruhusu akili yako ikafanya kazi na kusimamia ukweli na haki, madikteta huwa wanaingizwa madarakani na watu kama nyie wafia dini, chama na kutoambilika juu ya mtu fulani..Ndugu yangu duniani umekuja peke yako na utaondoka peke yako, kama huwezi kuifanya dunia kuwa sehemu bora ya kuishi ni bora pia usiiharibu, usishiriki kufifisha tabasamu katika nyuso za watu kwa ajili ya kutetea ujingaFungua vyako utuoneshe kwa mifano. au nawewe ni mzilankende!!!
Unashangaa Azam kulalamikiwa wakati hata Rais wa nchi anaitwa mdini kwenye teuzi zake, kwa kuwa unafiki ni jadi ya binadamu hapa mtasema amechagua wenye vigezo ila kwa Bakhresa mtasema udini japo hatujawahi kusikia kamapuni ikiyumba kwasababu ina watu wasiokuwa na ujuzi.Inawezekana una point lakini sina hakika kama mtu anaweza akakuambia wazi kuwa kilichokukosesha hii nafasi ni udini, udini ni uovu na hivyo hufanyika sirini. Ila kwanini wanalalamikiwa kila siku hawa jamaa, pengine kuna jamb.