Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Ni sawa wameachwa nyuma lakini kwanini asilimia kubwa wenye mpunga ni Waislamu?Jamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.
Hayo ni majina ya ukooKama rcdb kuna kimaro,mushi,kiria, n.k
Ndo maana barua yake walifungia maandazi.na wewe kuwa makini kidogo basi kwenye uandishi wako
sasa hiyo dollar sign ndio nini!!!!!
Mkuu nakosa hata cha kukujibu, naogopa nisije nikaharibu siku yako kwa majibu ambayo yanaweza yasiwe rafiki kwako.Jaribu kufuatilia michango ya wengine ambao wamechagua kutokusimamia upande.Jiangalie wewe kwa level yako. Msaidizi wa nyumbani kwako unamuajiri vipi? Mara nyingi ni ndugu au mtu wa kwenu au mnasali naye. Ndicho anachofanya Bakhressa kwa kuwa yeye anaamini watu wa imani yake ndio waaminifu kwake. Hawatomdhuru.
Usinikumbushe nilivyofutwa jina kwenye interview ya kujiunga jeshini nikiwa nasimamiwa na Mzanzibar. Kutaja tu jina langu la Kiisraeli tayari nikapoteza sifa akaja jamaa yangu anaitwa Paulo na yeye wakapita nae lakini akina Sule, Makame,Haji wakapena, wajanja tukakimbilia ajira za kwenye mahotel ya kitalii yanayosimamiwa na Makafri wenzetu huko hatukukuta udini iwe muislam au mkristu ama mpagani poa tu.Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
We utakuwa mtu wa masoko huko Azam! Nimekuona unavyopambana kuifagilia kule kwenye post yako ya Hotel (operated under islamic principles) ulivyokuwa ukisisitiza kuipenda hiyo hotel na kuupenda uislam. Nikajua tu huyu ni mmoja wao! Nikacheki jina unalotumia lilivyo refu na lenye uhalisia nikagundua kitu!


hisia zako tu boss wwla hakun ninayemfahamu huko azamFungua na wewe kampuni yako uwachukue waliookoka wenzio uwape kazi.Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Mambo yameanza kubadilika, Aboubakar sasa kashikwa na INDIANS, safu inayojengwa sasa pale juu ni indians kwanza kisha wakenya halafu waTz wasio na qualification za maana.Jamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.
Mkuu nakosa hata cha kukujibu, naogopa nisije nikaharibu siku yako kwa majibu ambayo yanaweza yasiwe rafiki kwako.Jaribu kufuatilia michango ya wengine ambao wamechagua kutokusimamia upande.
Mkuu GuDume umeongea ukweli......mtu taasisi yake ana Uhuru wa kuajiri atakavyo ..Hii tabia ya ulalamishi Wakristo mmeanza lini? Focus kwenye mambo makubwa. Achana na mambo madogo madogo. Kampuni yake ana uhuru wa kuajiri mtu yeyote ambaye yeye anamwona ana vigezo. Ili mtadia havunji sheria.
Hii tabia ya ulalamishi na nyie wakristo mmeanza lini? Mimi naamini kila mtu ana haki ya kuajiri watu anaotaka kwa vigezo vyake.... Vijana mjikite kwenye mambo ya msingi ya kujenga nchi. Hiyo ni Kampuni binafsi ana uhuru kuajiri watu anaowataka kwa kufuata vigezo vyake. Binafsi nachukia sana tabia ya ulalamishi.
Usitetee usichokijua,mkristo anayeajiriwa kwenye viwanda vya bakhresa ni lazima awe mtaalam au na kipaji,wafanyakazi wa chini wote ni waaslam,tena ukiwa shombe hata huandiki maombi,nywele zako ndiyo CV ya kukupa kazi.Povu ruksambona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
CMG napo wachaga wamezidiIPP kuna UCHAGGA, AZAM kuna UISLAM, SAHARA kuna USUKUMA
maneno yako mabaya sanaMfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.
Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
Uko sahihi kabisa Mkuu...ni vizuri pia products/services zake aseme it is only for Islamic consumers. ..Nyi wala nguruwe mna tabu sana,, kama bakhresa anazingua simuende kuomba ajira kwa Mengi au Mohmed enterprise, au kwa FIDA HUSSEN, au kwa manji, ,au la GSM, mna matajiri kibao ambao ni wakristo mnasemaga ,so kaombeni kazi huko kama VIP