Kwa hili nadhani itabidi walione mapema Na walipatie ufumbuzi maana ni wazi hili lipo hata counter zao za pale ferry booking office pia azam TV utakutana zaidi Na sura za kipemba tuBakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!
kwenye maelezo yake umeona ametaja azam media?mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Hata mimi sisimamii upande wowote maana Bakhressa hata sura simjui. Nazungumzia uzoefu wangu kama mwajiri.
Nasema kuwa sheria ya kazi haimbani mwajiri binafsi aajiri nani na kwa misingi gani. Na pia siko hapa kushindana na mtu bali ni katika kuweka mambo sawa kwa manufaa ya wengine.
Ukitaka kunitukana ni hiyari yako.Mkuu siwezi kukutukana, naomba unisamehe maana moyoni ushahisi nimekutukana. Ila kwangu mimi kila post niliyo iweka hapa nimepata like za kutosha kuonyesha kukubalika kwa hoja hizo.uzito wa hoja huwa haupimwi kwa like, kama ambavyo watu wanaweza kufanana akili ndivyo hivyo pia wanaweza kufanana ujinga. Nakupenda na nakuheshimu sana ndugu yangu.
Pole sana kwa kukosa kazi kwa Ndugu Bakhressa.
hapo sina research napo siwezi kusema. But umenipa mwanga mkuuCMG napo wachaga wamezidi
Mkuu siwezi kukutukana hata moyoni, naomba unisamehe maana inawezekana moyoni umehisi nimekutukanaHata mimi sisimamii upande wowote maana Bakhressa hata sura simjui. Nazungumzia uzoefu wangu kama mwajiri.
Nasema kuwa sheria ya kazi haimbani mwajiri binafsi aajiri nani na kwa misingi gani. Na pia siko hapa kushindana na mtu bali ni katika kuweka mambo sawa kwa manufaa ya wengine.
Ukitaka kunitukana ni hiyari yako. Ila kwangu mimi kila post niliyo iweka hapa nimepata like za kutosha kuonyesha kukubalika kwa hoja hizo.
Pole sana kwa kukosa kazi kwa Ndugu Bakhressa.
Kampuni yake Kila kitu chake umpangie, vyenu vya Umma (SU) mmevibinafsisha vyote, wafanyakazi tukabaki kama vifaranga vya kuku vilivyofiwa na mama yao na kudhulumiwa juu, majengo yamebaki magofu, watu wanajitolea kuficha aibu ya nchi mnaanza midomo, mbona Mengi kajaza wachaga hamsemi, akiwa upande wa pili midomo juu, mkuu pambana na hali yakoYaani hao walishikwa mkono na viongozi wa serikali .
Usitetee usichokijua,mkristo anayeajiriwa kwenye viwanda vya bakhresa ni lazima awe mtaalam au na kipaji,wafanyakazi wa chini wote ni waaslam,tena ukiwa shombe hata huandiki maombi,nywele zako ndiyo CV ya kukupa kazi.Povu ruksa



wabongo mna manenoo. nimewashindwa aisee. vipi kwa mzee mengi hakuna ubaguzi?Hata polisi mahakaman,shule kote umeuliza dini gani tuanzie huko serikalini kwanza halafu time ipp na azamMimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.
Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza
Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Mkaombe kazi CRDB na IPP huko mtapata, utaalamu huna unataka nani atolewe uajiriwe wewe?Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
raymond yvonaa kamuntu patrick michael maluwe upendo n.k hawa mbona majina yao ni ya kwetu?Nilidhani charles Hillary ni mkristo, burhan muhuza ni mkristo kumbe ni waislamu!
azam media ipo ndani ya bakhresa groupkwenye maelezo yake umeona ametaja azam media?
Azam media ya nani?kwenye maelezo yake umeona ametaja azam media?