Uko sahihiIPP kuna UCHAGGA, AZAM kuna UISLAM, SAHARA kuna USUKUMA
Ajielewi Huyu jamaaalexelias
Mkuu ungekuwa na case study inayokuhusu wewe mwenyewe ingependeza zaidi kuliko kufanya generalization , kama ulifanya application kwenye moja ya kampuni zake na ukaambiwa we tumekuacha kwa ajili ya dini yako na mwenzio akachukuliwa kwa ajili ya dini uke ingependezza zaidi!
Sasa unaumia nn?je IPP NA WAPO RADIO WAISLAM NI WANGAP????Karibu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Wako Sahihi kabisaMimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.
Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza
Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Safi sana Bakhresahaaah hao hadi wanafunzi wa kufanya field wanachagua ki dini
Mkuu umeniquote pasipo kujuwa nilichokisema kipo katika mlengo upi.Sio kweli , Muongo kwani bakhresa yuko Tanzania peke yake? naishi Uganda, huku waislam wachache , inamaana ame import watanzania waislam? congo na Rwanda je? what abaout Malawi , nako kaajiri waislam? au anawapenda waislam wa Tanzania tu, acheni hasad
Tena WAKUBWACc: Tido Mhando
Cc: Charles Hillary
Kosa lake kuipenda uislamWe utakuwa mtu wa masoko huko Azam! Nimekuona unavyopambana kuifagilia kule kwenye post yako ya Hotel (operated under islamic principles) ulivyokuwa ukisisitiza kuipenda hiyo hotel na kuupenda uislam. Nikajua tu huyu ni mmoja wao! Nikacheki jina unalotumia lilivyo refu na lenye uhalisia nikagundua kitu!
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Hao ni watu unique mzee watu kama kina Charles Hilary na Muhando Duncan ilikuwa lazima wawepo pale kwa sababu ya taaluma zao na ujuzi wao lakini kama sivyo nadhani usingwaona pale.mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Akina Tido, Charles hillary, Jeff Lea,... mbona wasio waislam wapo kibaoYaani hao walishikwa mkono na viongozi wa serikali .