Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Kanda ya ziwa ni mwanza,mara,kagera,shinyanga..mwanza na shinyanga wasukuma,wengi wao wapagani,mara sifahamu,kagera kuna pockets za waislam
Toa uthibitisho kwamba majority ya wasukuma ni wapagani. Kwani huko pwani wapagani hakuna ???
 
Ila kuna muda Dini zinafanya watu wawe kama Matahira wanashindwa kujua kuna utu, Yaani majitu mazima yanaingia kwenye mgogoro kisa Dini.

Pumbavu zenu wote, Dini zimekuja zisifanye tuwe wajinga, Waislamu na Wakristo wote wameumbwa sawa huwezi kuwatofautisha kwa sura zao.

Mishipa imewatoka kisa Dini, Malaya wakubwa.
 
serikalini kwenyewe saivi kumejaa ukatoliki na usukuma tu..
 
Wakristo wavaa hovyo sana hawataki vimini wala vichwa wazi ushangingi na kazi na milegezo wapi na wapi??

Hawataki wala kitimoto,, sasa kama mmekereka anzishen viwanda vyenu ila sio kipind cha mfungo nyie mnatafuna tafuna tu .....muda wa swala wote kuswali ....
 
Azam kama muwekezaji wa ndani sidhani kama hilo lipo sawa, lakini bora akili imshtuke mapema kama hawatobadilika sidhani kama watakua na future nzuri......by the way labda ni sera ya kiwanda tumuache.
hayo ni majungu tu na watu wenye husda chuki na wivu. mimi ni mkristo na nina ndugu zangu wawili wanafanya azam tv
 
Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.

Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza

Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Wako vizuri.
 
Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.

Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza

Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Unataka kusema hakuna Mkristo hata mmoja hadi wewe wakufukuze simply "wamegundua" wewe ni Mkristo?!

Kama simulizi yako ni ya kweli, basi kuna uwezekano wewe ni FRAUD! Walikutimua kwa hisia kwamba umefoji vyeti/unatumia vyeti vya mtu mwingine na sio kwamba eti ni Mkristo!!
 
Na hivi ndivyo jinsi tunavyotumia hizi social network Watanzania..... Tutaigawa hii nchi vipande kwa ishu za udini..
 
Unataka kusema hakuna Mkristo hata mmoja hadi wewe wakufukuze simply "wamegundua" wewe ni Mkristo?!

Kama simulizi yako ni ya kweli, basi kuna uwezekano wewe ni FRAUD! Walikutimua kwa hisia kwamba umefoji vyeti/unatumia vyeti vya mtu mwingine na sio kwamba eti ni Mkristo!!
Jumla pale kuna wafanyakazi 271 Wakristo wako 31 tu. Tena wengi wao ni wake za hao waislamu... Hapo ni pale HO

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nakosa hata cha kukujibu, naogopa nisije nikaharibu siku yako kwa majibu ambayo yanaweza yasiwe rafiki kwako.Jaribu kufuatilia michango ya wengine ambao wamechagua kutokusimamia upande.
Una chuki iliyopitiliza tafuta pesa.
 
Ndio maana wakamtimu Joseph Omog pale Azam fc wakamleta yule mzungu muislam....udini mbaya sana charles hiraly nae alikuwepo nchini muda mrefu ila mpaka alivyobadili dini na kuwa muislam ndio wakamuajiri....dah
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom