Messi Lionel
Senior Member
- Jan 11, 2018
- 170
- 159
Hata hilo neno
Ni kweli wameweka udini sana mbeleBakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Nyinyi mmezidi yan!!!Kama walivyofanya Ipp kumuweka juma kapalatu
mbona mlikataa kufanya sensa mmefilisika akili nyinyiCause wakristo ni wengi zaidi nchini so ni kawaida.
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Serikali iliyokataa rais, makamu wa rais,jaji mkuu na igp wote walikua waislamu. Sasa wakristo wanahusikaje hapombona mlikataa kufanya sensa mmefilisika akili nyinyi
Toa ushahidi wa unachosema. Hamuwez kuwa wengi kuliko wakristo.Charles Hilali nae ni muislam?, alafu wakristo hata mkisusia bidhaa kwa kigezo hicho dhaifu haitosaidia kitu mana waislamu ni wengi kuliko nyie.
lakini kwa majina sio wale wanaojielewa..kama ni mdada utadhani ni mshia , hijabu zao za kimitego...sidhani hata kama wa swali..wengine pale ni zile sura za kiarabu ..tu..ukiwa mweusi sana sidhani kama utapata kazi hata kama unaitwa hamadiKaribu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
lakini kwa majina sio wale wanaojielewa..kama ni mdada utadhani ni mshia , hijabu zao za kimitego...sidhani hata kama wa swali..wengine pale ni zile sura za kiarabu ..tu..ukiwa mweusi sana sidhani kama utapata kazi hata kama unaitwa hamadiKaribu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.