Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
Wakienda zenji wajiandae kuruka na ungo. Km Ndio mpango huo
ahahahahahah, Umetisha
Wakienda zenji wajiandae kuruka na ungo. Km Ndio mpango huo
Andamana uache kutumia ufe njaa,ha ha ha.Uko sahihi kabisa Mkuu...ni vizuri pia products/services zake aseme it is only for Islamic consumers. ..
Siku chache kabla ya mtihani wa darasa la saba 1978 mwalimu aliingia darasani na kitabu Cha mahudhurio alituita mmoja baada ya mwingine ukifika kwa mwalimu anauliza Fulani wewe dini gani? Ukijibu Islam anakwambia kakae, ukijibu vingine atasimama muda kidogo akihojiwa na mwalimu anajaza. Hii Siri ilifichuka Morogoro watoto waliulizwa hivyo wakaenda kusema kwa wazazi wao baada ya malalamiko mengi kwa Sasa hawaulizwi tena Hilo swali ndio mwanzo wa idadi ya watoto wa kiislamu kufaulu kwa wingi. Ni mpumbavu na mjinga tu ambaye anaweza kuamini hilo mliloandika hapo ndio maana hadi sasa Islam akipata nafasi kubwa watu midomo inawajaa utafikiri wamebumba maji,
Sidhani kama ni kweli, mimi nina ndugu yangu ni dereva pale na ni Mkristo wa makanisa ya Kipentekoste.Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Kuwa practical kidogo, mengine hupaswi kuambiwa kwa mdomo au barua bali yanajieleza yenyewealexelias
Mkuu ungekuwa na case study inayokuhusu wewe mwenyewe ingependeza zaidi kuliko kufanya generalization , kama ulifanya application kwenye moja ya kampuni zake na ukaambiwa we tumekuacha kwa ajili ya dini yako na mwenzio akachukuliwa kwa ajili ya dini uke ingependezza zaidi!
Fwatilia mkuu.. ukweli upombona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Kwahiyo Unataka kusema HAKUNA Waislamu wenye taaluma na uzoefu sawa na Charles Hillary?! Kwa elimu na utaalamu gani alionayo Charles Hilary hadi uone he's so exceptional that no any other Muslim can fit his post?Usitetee usichokijua,mkristo anayeajiriwa kwenye viwanda vya bakhresa ni lazima awe mtaalam au na kipaji,wafanyakazi wa chini wote ni waaslam,tena ukiwa shombe hata huandiki maombi,nywele zako ndiyo CV ya kukupa kazi.Povu ruksa
Fwatilia kwa kina mkuu.. usikuruouke. Ukiacha azam media ambako kama wangefwata hivyo vigezo vyao wangefeli coz watangazaji wanaokizi vigezo vyao ni wachache. Sema sehemu nyingine ambayo kuna raymond na john hapo azam. Tuweni wakweli kwenye mabo ya msingiCharles Hillary, Ivona Kamuntu na wengineo.
Ila imezidi sanaJamani muacheni naye awabebe wa upande huo! Wameachwa nyuma sana kwenye ajira.
Una ushahidi?Yaani hao walishikwa mkono na viongozi wa serikali .
Inakuuma? Kunywa sumu na wewe utatuambia ni mwanaume hawa wanaume wa hivi sijui wake zao wanaishije.sasa ile c profession yao? wamesoma san uchumi
hapa kwa bakhresa hata fundi garage lazma awe mvaa kubazi ndio hoja yetu
usihangalie tv tu tambua pale yupo tido ndio maana wanashindwa kuwaweka majina hayo but ni wadin sana hao fanya utafiti uonembona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Tofauti na azam media taja wengune kama utawapatCc: Tido Mhando
Cc: Charles Hillary
tambua anayeshika upande huo ni tido so wanaona aibu coz tido kawashikia tv zao na bila tido wangeumbuka ingawa king'amuzi bado hakiridhishiCharles Hillary, Ivona Kamuntu na wengineo.
Hivi ule ni mfungo au sherehe za kula bila kipimo??Wakristo wavaa hovyo sana hawataki vimini wala vichwa wazi ushangingi na kazi na milegezo wapi na wapi??
Hawataki wala kitimoto,, sasa kama mmekereka anzishen viwanda vyenu ila sio kipind cha mfungo nyie mnatafuna tafuna tu .....muda wa swala wote kuswali ....
mbaka watu wanaotumia ving'amuzi vyao wanasema wazi wanatumia vya muislam mwenzao nimeshuhudia kwa macho yangu wakisemaKaribu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
world vision ni la kidini kama ilivyo Compassion,wanataka uwe unajua biblia na hata mkatoliki anayesomewa tu biblia hawezï ajiriwa huko, bakhresa hajasajili Shirika la dini,kwahyo tunamripoti kunakohusikaMimi nakumbuka shirika moja kubwa linaitwa world visheni nilikosa nafasi kwa dini yangu. Nikatamalaki. Kwa hiyo sioni ajabu kwa Bakhresa kuwabeba waislamu kuna sehemu ameona wamebanwa.