Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!
Ofisi ya Heleni Bi Kijo Simba LHRC wafanyakazi wote wakristo,mameneja na wakurugenzi wote Tanesco wakristo
 
Kama madai hayo ni kweli wakristo wote wasinunue bidhaa za azam
Tena waanze kesho asububi ili awape ajira wanaona ndio wenye haki ya mupata ajira nchi hii kuazia serikalini mpaka kwenye kampuni binafsi.
 
Tujikumbushe parts of speech Islamic is adjective , Islam, Muslim are nouns. Mind your language. Pili Muislamu anamwabudu Allah siyo Islamic. Muslim confess and adore an infinite and eternal being, without form or place, without issue or similitude, present to our most secret thoughts, existing by the necessity of his own nature, and deriving from himself all moral and intellectual perfection.
 
Ofisi ya Heleni Bi Kijo Simba LHRC wafanyakazi wote wakristo,mameneja na wakurugenzi wote Tanesco wakristo

wakati wanasoma wao walikua madrasaa, ila sasahivi mwamko mkubwa, top 10 za mwisho kitaifa mikoa ndio ile ile ya madrasa
 
Yani hawa watu nmetokea kutowapenda hata kidogo ni wabaguzi mno,hawa azam wa.puuzi sana hata king'amuzi chao wamejaza channels za kihindi as if consumer wa bidhaa zao ni waislam wote nmekiuza juz hcho kisimbus chao nmenunua dstv na home kwangu marufuku bidhaa za huyu n.g.urue
Kwanzia kesho nasusia bidhaa zake. Kasoro king'amuzi tu. Sipendi ujinga mimi
Ati mnasusia kwi kwi kwi Bakhressa ni maji usipoyanywa utaoga, utafulia nguo, utamwagia bustani utapikia mtasafishia hivyo vimkokoteni vyenu, hivi kwa siku unamgusa Bakhressa mara ngapi tena kwa kujua au kutokujua mnastarehesha baraza tu, angesema wa Kijiji labla ningemuelewa kidogo
 
Ati mnasusia kwi kwi kwi Bakhressa ni maji usipoyanywa utaoga, utafulia nguo, utamwagia bustani utapikia mtasafishia hivyo vimkokoteni vyenu, hivi kwa siku unamgusa Bakhressa mara ngapi tena kwa kujua au kutokujua mnastarehesha baraza tu, angesema wa Kijiji lanla ningemuelewa kidogo
Mkuu trust me naweza kuishi bila huyo mungu wenu
 
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!
Kwa waafrika walivyowezi acha aajiri waislam maana ni waadilifu hata Dangote ni tajiri afrika sababu ya uislamu wake.JPM leo kasifia bakhresa kwenye uaminifu wa sukari ya viwandani
 
Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
hahaha kuwa na mzuzu n sifa ya ziada,ama kweli hawa wavaa ndala wanatisha
 
Nimepata kufanya kazi na Kampuni moja ya Azam nilipata ushirikiano mzuri sana hadi Nikapata demu wa Kiislamu.

Sikuwahi kubaguliwa kisa Dini yangu na pale kuna Wakristo wa kutosha
 
Mfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.

Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
na mtazid kubaki nyuma hivo hivyo maana elimu kwenu ilipita kushoto
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom