Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Wakristo huwaga mna moyo flani ivi sasa chakufanya fungua viwanda vyako uwaajiri waislamu
 
Hesabu idadi ya makanisa na ya misikiti hapo Dar alaf ulete majibu
Kanisa si ni mali ya mtu binafsi,huwa mnaanzisha tu hata kama mnasali wawili!..sasa fikiria waislam wote wangekua wanasali..dar ingejaa misikiti
 
Kanda ya ziwa ni mwanza,mara,kagera,shinyanga..mwanza na shinyanga wasukuma,wengi wao wapagani,mara sifahamu,kagera kuna pockets za waislam
Mkuu kupata namba ya waislam na wakristo ni ngumu sababu asilimia 70% wenye majina ya kiislam hawakanyagi msikitini hivyo hivyo wakristo wa huko vijijini unakuta anaitwa peter au said ila msikiti na kanisa hajawahi kanyaga

Kwahiyo tuconclude tu kwamba haijalishi dini gani ina watu wengi kuliko wenzake haina faida yoyote maana hakuna anayepata kombe akigundua dini yake ina majority hivyo tuishi kwa kuvumiliana tu maana wengi wetu koo zetu zina mixture ya dini zote mbili hivyo tukianza sema nani ni bora mtakesha hapa
 
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!

Mi ntapiga kampeni kususia bidhaa za bakhresa,huyu mtu mdini sana alihamasisha waislamu wasitumie bidhaa za mengi na mifano ipo wazi,kwa wale wenye watoto wanaosoma almuntazir wanajua jinsi watoto wanavyoambia wasitumie soda wala maji toka viwanda vya makafiri hasa vya mengi,huyu bwana ni mdini sana
 
Aisee hilo la udini ni kweli,nina dogo langu anajiita Amir sijui nani vile kwa sababu tu ya kazi kule kwa hawa jamaa,ngoja na mimi niwaajiri wakiristu tu au tumuulize yule jamaa anaitwaga mohamed atupe sababu maana ni muumini wa Muslims Empowernment.Mtag aje hapa
 
Azam kama muwekezaji wa ndani sidhani kama hilo lipo sawa, lakini bora akili imshtuke mapema kama hawatobadilika sidhani kama watakua na future nzuri......by the way labda ni sera ya kiwanda tumuache.
 
Kuna shirika/organization moja hivi imejaa wakurya na wajaluo ni hatari. Ili mradi tuna dini na makabila, udini na ukabila haviwezi kuisha.
Kabisa na waafrika tumezidi katika ubaguzi.
 
Wengi ya wapemba ni wadini (wa Unguja ni wachache mno mambo ya udini) akiwemo huyo Bakhresa ni mpemba.
Ungekuwa si mdini usinge andika hayo kaishi pemba halafu urudi hapa. Tatizo mnatoka Dar na ustaarabu wenu wa kijinga mnataka kwenda kuharibu Jamii za watu. Pemba ukiishi ukifata ustaarabu wao kamwe hutoona huo Udini na ubaguzi
 
Watoto wa Mama mkubwa wanalia.
Sifa ziende kwa awamu ya tano.
Hahahaaa acha wa watoto wabimdogo tubebane hakuna jinsi kila mmoja Apambane na hali yake wakaajiriwe zile hospital za mission wanazotutambiaga. Tukiumwa Hatuna pa kukimbilia zaidi ya huko
 
wakati wanasoma wao walikua madrasaa, ila sasahivi mwamko mkubwa, top 10 za mwisho kitaifa mikoa ndio ile ile ya madrasa
Ni kweli basi kila mmoja Apambane na hali yake. Waislam tunapambana na 0 zetu 😛 na watoto wa bi mkubwa Pambaneni na makaratasi yenu yote maisha mradi mkono uende kinywani
 
BEEF LASAGNA kwa taarifa yako mi ni mzaliwa wa Pemba Vitongoji nimekulia Unguja Mwembemakumbi na Mdo Kizimbani. Bakhresa ni Mpemba na ofisi zake ziko Malindi jirani na Benki ya Posta. Kama wewe ni wa Pemba wengi wenu hiyo tabia ya udini mnayo sana
 
Udini huo unaodaiwa utakuwa ni strategic corporate policy ya kuwa na company-wide harmonious culture ili kupunguza misuguano na kuongeza tija. Ni uamuzi ambao hata watu binafsi hufanya ikija kwenye ndoa or social interactions and friendships.
 
Nafanya kaz kwa mchaga. Na hapa kazin mchaga ni mmoja tu wengine sisi ni wamakonde na wanyamwez.

Si wakat wote samaki mmoja akioza wote wameoza.
Ni kweli si wakati wote Samaki Mmoja akioza wote wameoza Ila kwa Asilimia kubwa ubaguzi wa dini na makabila Kwenye Sekta binafsi ni changamoto Kubwa sana.
 
BEEF LASAGNA kwa taarifa yako mi ni mzaliwa wa Pemba Vitongoji nimekulia Unguja Mwembemakumbi na Mdo Kizimbani. Bakhresa ni Mpemba na ofisi zake ziko Malindi jirani na Benki ya Posta. Kama wewe ni wa Pemba wengi wenu hiyo tabia ya udini mnayo sana
Wewe Hizo sehemu umezitaja kwa sababu unazifaham tu. Ila ubaguzi unaazia kwa yule anayehisi anabaguliwa. Na Rudia mkiishi Jamii za watu fata ustaarabu wao acheni tabia za hovyohovyo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom