Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,271
Ndg zangu wachaga kuna ukweli hasa Machame.Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Kuna kampuni ya Elerai construction Arusha ni Machame wote.