Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 205
Unakusudia watanganyika ni watu wa hovyohovyo? Hili ni moja wewe ni mbaguzi hatari sana na kama jina lako BEEF, mpumbavu bora ya mjinga. Mimi ni mzaliwa na mkulia wa Zanzibar
Acheni tabia za hovyohovyo mkikaa Jamii za watu. Uzuri Nimeishi na kulelewa na wakurya. Wakurya mtoto wa kiume anaheshimika sana mtoto wa kike Lazima uwe na heshima iliyotukuka Sasa mzaramo ukitoka Dar. Ukaingia musoma ukataka uishi Kizaramo Lazima uumie. Wazungu wanakawaida wakiwa wanaenda mahali Lazima Wajue mila na tamaduni za eneo husika hata kwa kugoogle apate kuelewa anapokwenda.Unakusudia watanganyika ni watu wa hovyohovyo? Hili ni moja wewe ni mbaguzi hatari sana na kama jina lako BEEF, mpumbavu bora ya mjinga. Mimi ni mzaliwa na mkulia wa Zanzibar
ndio mnavyodanganyana huko masjid? nyie mko busy na madrasa elimu mtaijulia WAPSiku chache kabla ya mtihani wa darasa la saba 1978 mwalimu aliingia darasani na kitabu Cha mahudhurio alituita mmoja baada ya mwingine ukifika kwa mwalimu anauliza Fulani wewe dini gani? Ukijibu Islam anakwambia kakae, ukijibu vingine atasimama muda kidogo akihojiwa na mwalimu anajaza. Hii Siri ilifichuka Morogoro watoto waliulizwa hivyo wakaenda kusema kwa wazazi wao baada ya malalamiko mengi kwa Sasa hawaulizwi tena Hilo swali ndio mwanzo wa idadi ya watoto wa kiislamu kufaulu kwa wingi. Ni mpumbavu na mjinga tu ambaye anaweza kuamini hilo mliloandika hapo ndio maana hadi sasa Islam akipata nafasi kubwa watu midomo inawajaa utafikiri wamebumba maji,
wavaa kubaz n elimu ndgo inawasumbuaSasa hapa Tisa na Kumi nenda Azam Media uone balaa lake. Katika kila Watu 25 wenye majina ya Kikikristo ni 2 tu waliobakia tu Waislamu 'waliotukuka.
huyu mvaa kubaz ndio wanavyodanganyana eti wapo 85% hahaha elimu elimuWaislam hardly wanaweza kuwa 40% maximum nchi nzima. Wapo concentrated pwani zaidi ndo majority.
Fuatilia teuzi utanielewa!Toa ushahidi kuwa serikali inaajiri wakristo tu.
umeelewa post?Mbona sasa mnataka kuajiriwa na watu walioko nyuma wakati nyinyi mko mbele?
mmilik wa Chanel ten n nanChanel ten kuna Upare
Kwa hili nadhani itabidi walione mapema Na walipatie ufumbuzi maana ni wazi hili lipo hata counter zao za pale ferry booking office pia azam TV utakutana zaidi Na sura za kipemba tu
Kumbe Wapemba wana sura zao?Kwa hili nadhani itabidi walione mapema Na walipatie ufumbuzi maana ni wazi hili lipo hata counter zao za pale ferry booking office pia azam TV utakutana zaidi Na sura za kipemba tu
Mbaguzi akibaguliwa ndio huita ubaguzi!Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Walikufukuza kwa sababu ya fogery. Wewe kwa nini utumie jina la athumani wakati ni mkristo? Kwa nini ufoji? Walikutimua kwa sababu hiyo na nia yako ovu.Mimi nilifanya interview na kushinda katika process ya kusign contract wakanifukuza walipogundua mimi ni Mkristo.
Natumia jina la Athumani, so they thought ni muislamu, walipogundua ni mkristo wakanifukuza
Tena katika mikataba yao kuna kipengele cha dini gani? As the qsn.
Wenye akili tumesha elewaIdini ndio nini?
Huo msumeno wako unamaanisha kuwa kwa vile Magu ni mkatoliki basi kina samia wake benchi awaweke kina daudi wote???Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
kwanini asiguse? kwani azam media siyo bakhresa group? tuache wivu tuchape kaziWe nae umekazania azam media mleta mada ajaigusa hiyoo sababu ni KIOO