Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,073
- 6,251
Bajeti ya ajabu sana
Chatorism kwa heriiNi bajeti funga kazi .
Ccm daima
Chadema watanyooka tu
Wewe mnafiki sana ka himbe umfuate.Ulikuwa waziri wa mambo ya ndani hali ilikuwa mbaya sana. Na ukawa unatoka hadharani kudai maiti zilizookotwa zilikuwa za wahamiaji haramu. Leo hii unatamka haya?View attachment 1814788
Awamu hii inatupa picha ya kuwajua vinyonga... Maana bila aibu wanabadilisha maneno kama vile hawakuwepo serikalini / bungeni miezi kadhaa iliyopita.Huyu mnyiramba nae ana kigeugeu sana,sio wa kumwamini sana
Hiyo aliyosoma Mwigulu ambayo inawataka wananchi wafunge mikanda kama wakati wa kupigana na Nduli Idd Amin ni bajeti ya Tanaganyika!Watanzania mko wapi, bajeti yenu inasomwa huku.😂😂😂
Watu hawana hata mpango...
Ahahahah na no one caresMkuu nchi ngumu hii kuielewa, waliahirisha mechi huku kukiwa na watazamaji elfu zaidi ya 40 uwanjani sembuse Bajeti?
Mwigulu Nchemba anahukumiwa na dhamiri kwa Yale mabaya aliyoyatenda akiwa Wizara ya Mambo ya NdaniUlikuwa waziri wa mambo ya ndani hali ilikuwa mbaya sana. Na ukawa unatoka hadharani kudai maiti zilizookotwa zilikuwa za wahamiaji haramu. Leo hii unatamka haya?View attachment 1814788
Aliwahi kutuhabarisha kwamba kuna "magaidi"!🤣🤣🤣Mwigulu Nchemba anahukumiwa na dhamiri kwa Yale mabaya aliyoyatenda akiwa Wizara ya Mambo ya Ndani
Hakuna Rais mwenye mapungufu makubwa zaidi ya IDD AMIN II MWENDAKUZIMU KUTOKA CHATO. Huyu alikuwa mhalifu kabisa mtekaji, muuaji, mpika data, muongo na fisadi.Ndo utajua mtu mweusi si wakuamini hata kidogo, pia huyu mama naona ana entertain huu upuuzi wa kumsema mwenzie but na yeye ajue akiondoka hawa hawa watamsema vibaya sana kuliko hata JPM kwa maana yeye anamapungufu mengi sana
Kumbe gaidi alikuwa ni yeye mwenyewe, akawa anamwagia watu tindikali halafu anawasingizia wengineAliwahi kutuhabarisha kwamba kuna "magaidi"!🤣🤣🤣
Ila alitubu kimyakimya tulipoanza kumsimanga kuhusu majina yake 😂😂😂Kumbe gaidi alikuwa ni yeye mwenyewe, akawa anamwagia watu tindikali halafu anawasingizia wengine